Ali kiba: Nipo tayari kudhamini tamasha la wasafi festivals

huu ni zaidi ya uchawi, kukatishana tamaa
Nani kakatishwa tamaa, wakati yy mwenyewe mambo anayoyafanya anaonekana kishakata tamaa. Mara naingiza sokoni mofaya kombe la dunia likianza, mara nadhamini matangazo ya kombe la dunia, mara sikukuu ya idd mo faya inaingia sokoni,mara bidhaa itaingia sokoni mpaka Ommy apone (sijajua uhusiano wa mo faya na Ommy vinahusiana vipi) mara kutoka ktk mziki kaenda kwenye mpira (hapa ndipo nilipomuona looser). Kwa kifupi jamaa wako hajui anataka nini na anasimamia nn, excuse kibao usifanye masihala kuanzisha bidhaa mpya, yy anazani muda una msubiria yy, katoa nyimbo karibia tatu zote maboko na show zishakata, kijana UKITAKA KUANZA MAISHA ANZA SASA, USISUBIRI KESHO, UTAJA KUMKUTA MWANA SI WAKO (Banza stone). Jamaa yako sio tunamkatisha tamaa kwani hajui tumia muda na muda huu ndio utatakao muhukumu.Unapokuwa wa moto ndio muda wa kuinvest yy, anaruka ruka na sasa hivi ndio muda wake wakuelekea omega, alpha kishaipita.
 
Something is wrong here. Ukifuatilia ile press ya Wasafi siku ile halafu ukisoma response ya huyu jamaa unagundua kuna kitu hakipo sawa hapa. Kuna mmoja kati yao anahitaji bifu liendelee na uhitaji kuwa PHD kumtambua.
 
Mtaalamu kule mbona hujarudi jamani nmepika nyama hadi nimeila mwenyewe


😁😁hatua zote zifuatwe ila angalia unaemfanyia usije vunja ndoa za watu..

Huko ntakuja tu.. Sini ushawahi ona mbwa anavyotoa ulimi nje. Akiwa kachoka au anapinguza joto ndivyo hivyo atakavyokua anakutafuta yule kwa uchu..
 
Kiba kafanya vizuri kuwajibu katika hali inayoonesheana kila
Mmoja anataka msaada kutoka kwa mwenzake..
Kiukweli asingekubali kupanda jukwaa moja na diamond hii kidogo
Ingeleta hali flani hivi kwake..
Hata hivyo kupendekeza mofaya itumike ni njia nzuri pia kukitambulisha kinywaji chake ila kupitia mgongo wa wcb
Hivyo basi ni vizuri wcb wakubali
 
WASAFI WAMJIBU WAMEKUBALI UDHAMINI !!

WASEME GHARAMA YAO YA UDHAMINI WA TAMASHA!
mbona simple tu!!
 
Kwahiyo anataka atumie mgongo wa tamasha kukitangaza kinywaji chake, huku akijionesha ni jeuri hahitaji kubebwa. Ilimradi tamasha libebe kinywaji chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…