Ali kiba: Nipo tayari kudhamini tamasha la wasafi festivals

Ali kiba: Nipo tayari kudhamini tamasha la wasafi festivals

HICHI KINYWAJI HAPA BONGO HAKIJULIKANI ETI ANAENDA KUKITANGAZA KIMATAIFA?? KAONA AIBU KUSHIRIKI TAMASHA LA WASAFI
Hakijulikani bongo lakin origin yake ni south africa mzee...kwa iyo yupo sahihi haitaji kuwa na haraka na wabongo
 
Yeye ni vice wa mofaya mpira hautaki mziki umebuma iyo pesa yakulipia ataitoa wapi ?? Hahahahaha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Wabongo sisi tunaongoza kwa roho mbaya
 
Something is wrong here. Ukifuatilia ile press ya Wasafi siku ile halafu ukisoma response ya huyu jamaa unagundua kuna kitu hakipo sawa hapa. Kuna mmoja kati yao anahitaji bifu liendelee na uhitaji kuwa PHD kumtambua.
Kwa sehem yangu lugha ya DIAMOND siku ipenda kabisaa ila jibu la Alikiba liko sawa
 
Kwani ana mziki gani wakuwashawishi ??? [emoji23][emoji23][emoji23]
kabla ya ushawishi wa Muziki kuna brand names ambazo zilishajengwa muda mrefu. Si unaona Mavoko yalimshinda WCB akaondoka lakini wengine wapo tu. Mikataba ya WCB inawavutia zaidi wale wanaotafuta kutoka kimuziki... Kwa hawa wakongwe lazima kuwe kuna kula na kuliwa kwa pande zote mbili. Asipokuwa makini, unaweza kuwa mkataba wa kuua hata kile kidogo anachomiliki kwa sasa
 
Back
Top Bottom