Kuna Tv flat screen zinaitwa MO! Unajua Kiwanda chake kiko wapi?KIWANDA CHA mofaya KIPO WAPI VILE??
MADALEKuna Tv flat screen zinaitwa MO! Unajua Kiwanda chake kiko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MADALE
umesoma vizuri hata alichokiandika kuhusu mofire au umekurupuka kujibu tu.....Kibakuli mikwala tupu hiyo mofaya dar inauzwa wapi mana supermarket kubwa kama shopperz hakuna au anauzia tabata sanene
Duh,kweli bongo masikini ni wengiUkiambiwa kiba ni King hii ndio maana halisi.....wameshindwa kufanya mambo yao Bila kumchokonoa King,maana response yoyote ile toka Kwa kiba kwao ni strategy.
Ipo siku ntakafumua....usikaambie lakiniYap Kanaitwa Mina,kanatangaza na Millard
Asingekuwa MO DEWJ kuleta figisu figisu pale bndarini zingekuwa zishatoka kitambo lakn kuona mfanyabiashara GIANT mkubwa kama yule kuogopa mjasiliamali kisa eti jina linafanana na kinywaji chake ni roho mbayaSomething is wrong here. Ukifuatilia ile press ya Wasafi siku ile halafu ukisoma response ya huyu jamaa unagundua kuna kitu hakipo sawa hapa. Kuna mmoja kati yao anahitaji bifu liendelee na uhitaji kuwa PHD kumtambua.
hahaa yaani huyu jamaa anajifanyaga hana time wala hana habariKibakuli anajikutaga tu hatakagi shobo dundo...
hahaaBora hawa chalii za kule wakadhamini kuliko hio mo motoView attachment 924459
hapana kiba ameshtuka hataki kufanywa ngazi katika hili " though mimi na wewe hatujui hao jamaa wameshawahi kufanyiana visa vizito kiasi gani " mkuu haya ni maisha " yana mambo mengi sana ndani yake haswaa katika issue kama hizo za kibiashara watu wanafitinishana mnoo "... then sisi kama mashabiki nafasi yetu huwa inabaki kuwa kama mteka maji mtungini " hawezi kuzijua siri ya mtungi mpaka aelezwe na kata ".. so sometimes huwa tunavuka mistari kwa ku judge vitu ambavyo hatuvijui undani wake zaidiSomething is wrong here. Ukifuatilia ile press ya Wasafi siku ile halafu ukisoma response ya huyu jamaa unagundua kuna kitu hakipo sawa hapa. Kuna mmoja kati yao anahitaji bifu liendelee na uhitaji kuwa PHD kumtambua.
hahaaAnaona mazereu kupandishwa stejini na Diamond. Truth must be told.
Naam kama jamaa wanataka kweli kulimaliza bifu na dhani wcb ni bora wange kubali kuitangaza hiyo bidhaa wangevuna mashabiki wengi sana kuliko hata ambavyo huyo kiba jinsi angeingiza pesa katika hicho Kinywaji " ushauri wangu ni kwamba wakae nae chini wakubaliane kukitangaza lakini wampe masharti ya kushiriki kwenye hilo tamasha " wakifaulu katika hilo " sidhani kama kuna mpenda burudani na gossip ambaye atakubali kubaki nyumbani bila kwenda kuwaona kiba na diamond katika jukwaa mojaKiba kafanya vizuri kuwajibu katika hali inayoonesheana kila
Mmoja anataka msaada kutoka kwa mwenzake..
Kiukweli asingekubali kupanda jukwaa moja na diamond hii kidogo
Ingeleta hali flani hivi kwake..
Hata hivyo kupendekeza mofaya itumike ni njia nzuri pia kukitambulisha kinywaji chake ila kupitia mgongo wa wcb
Hivyo basi ni vizuri wcb wakubali
nadhani hiyo gharama ndo ambapo mofaya watakimbia mazima😂😂😂
MMh.. I hope Seven yupo vizuri kwenye negotiation. Hapa ni win-win situation... Aangalie na longterm impact ya mkataba watakaoingia. Ibakie kwenye Mofire tu, wasiingie kwenye muziki wa Kiba
Hivi WCB walimualika kupitia Insta au Official Letter?yeah... Best response ever. I hope WCB watatumia busara kujibu hili
muulize ALLY kupitia insta au twitter akikujibu NITAGHivi WCB walimualika kupitia Insta au Official Letter?
msaada please
huyu jamaa hajielewi