Kwa hio P squa wamefirisika ao unaongea usio yajuwa kama kawaida yako?
wanafilisika wanamuziki wakubwa wa marekani..hata yeye akibugi chalii..kuna wasanii wakubwa duniani walihit mbaya..sasa hakuna mtu anasikiliza nyimbo zao..mfano Afrika P square...unapata stress unatapanya Mali