BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
mwaka wa tisa asubir tuTatizo la wa africa walio wengi. Mtu akikwambia subiri au nipe muda unaona kakubania. Tunatakiwa kuelewa na kuheshimu maamuz ya wenzetu. Kila mtu hupanga ratiba zake huenda muda uliomwambia mfanyejambo fulani yeye alikuwa na ratiba nyingine..
Huyu kumbd nae ni bwe.ge eeh? tujifunze kuchagua marafiki,kuna watu wanapenda lawama za kiboya.....Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa.
Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, Hakeem 5 anadai kuwa msanii huyo kwa sasa amekuwa akijisikia sana kitu ambacho yeye kimemkera na kudai kuona kwamba msanii huyo ana roho mbaya, roho ya kukunja.
” Unajua kuna wasanii wana roho mbaya sana wanadhani kwamba ridhiki wao ndiyo wanatoa kumbe Mungu ndiye mtoaji wa ridhiki, kiukweli kabisa Ali Kiba kwa sasa sitaki hata kumsikia sababu huyu jamaa nampigia simu simu zangu hata hapokei, ujumbe wangu hajibu na kuna siku nilikutana nae studio na kumwambia naomba tufanye kazi pamoja lakini yeye aliniambia unajua, Hakeem 5 kazi tutafanya ila subiri kwanza na mambo kama hayo ndiyo maana saizi sitaka hata kumsikia” alisema Hakeem 5.
Katika hatua nyingine msanii huyo amezidi kusikistiza kuwa anataka kufanya kazi na msanii huyo na kusema kuwa yeye hataki pesa za Ali Kiba ila anachotaka kwa sasa ni kufanya nae kazi tu, kwani yeye Hakeem 5 anasema ameshamalizana na Ali Kiba kwenye wimbo wa Nakshi Mrembo ila Ali Kiba yeye bado hajamalizana na msanii huyo.
Unajua mimi nimefanya mambo makubwa na Ali Kiba na wala hakunilipa na mimi sitaki pesa zake nilimwambia sitaki pesa yako mimi nataka tufanye kazi, yeye anasema kila jambo linawakati wake, mimi nilishamalizana na yeye ila yeye hajamalizana na mimi” alidai Hakeem 5.
Asubiri tu.. Awe na istiqamahmwaka wa tisa asubir tu
kwa kifup kiba anadaiwa baada ya kumshindishanjaa mwenzake studio mwaka2005 Kwenye naksh naksh mrembo sasa zamu yake kutoa sapot kiba kaanza zhulma anazingua is not fairAsubiri tu.. Awe na istiqamah
Tenda wema nenda zako .........kwa kifup kiba anadaiwa baada ya kumshindishanjaa mwenzake studio mwaka2005 Kwenye naksh naksh mrembo sasa zamu yake kutoa sapot kiba kaanza zhulma anazingua is not fair
" Mungu ndie mtoaji tena kwa foleni hata kama nipo nyuma nitapata lazima" Dushelele.Kma Unafaham Mungu Ndie Mtoaj Wa Ridhiki, Unalalamika Nini? Nyamaza Subili Ridhik Yako Itolewe Na Mungu Na Siku Zote Mungu Hana Upendeleo...Alichoongea Hakeem 5 Ni Aibu Kwake...Alienda Studio Kwa Ajili Ya Kulia Lia Au Kupromot Sanaa Yake?[emoji124] [emoji124]
usilitetee bana liali kiba lina roho mbayaTenda wema nenda zako .........
huyo hakeem 5 ni mjinga badala ya kujituma unataka kumtegemea mtu, kweli kuishi mjini sio ujanjaKafufuka na kutafuta kiki
uko nje ya mada.tokea alikiba ahojiwe akajibu eti kiti chake ni kama kilikuwa na vumbi tu kwa hiyo anarudi kufuta vumbi ,ewewewewewew sahau leo yapo wapi?unaondoka kwenye game miaka mitatu halafu eti unasema kiti kina vumbi tu?sasa huo muda alifikiri wasanii wengine wamekaa tuuu,