Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza

Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza

Huyu Ndo Team Yake Inampaisha inamwita King kumba Mfalme amepanga Hana Hata Nyumba na Miaka yote Hiyo kwenye Mziki...

Poor Kiba
Sio kila lisemwalo lipo kama lilivyo semwa.... Maneno mengine yapime au angalia hali halisi...
 
0fgjhs7cqjdskendu.3ce80c64.jpg
Dah jokate wewe ? Umeniacha.mimi umeenda kwa huyo
 
Kwani mpaka kuwa na nyumba? Hana nyumba lkn mungu kamjaalia vingine kama watoto,kidot,etc
 
Sasa unaanzaje kujitangaza wakati hauna na hata ukiwa nayo vi mlango kama choo[emoji23][emoji23][emoji23] na show room yawatu eti ndio ndani huumchezo hautaki hasira
 
Iv hata ya udongo hana kweli,dah kba anashindwa hata kujenga ya fito. Tutaunda tume imjenge nyumba ya udongo.
 
Tatizo Kiba anafuata nyayo za Mrisho Ngasa,hao Madada hutowamaliza..ni wengi mno aseee
 
Kipindi flani walimuonyesha anatoa msaada wa M 21,eti akimzidi Diamond kw M 1 ambaye alitoa M 20,kumbe Jamaa hata kibanda hana.
 
Kipindi flani walimuonyesha anatoa msaada wa M 21,eti akimzidi Diamond kw M 1 ambaye alitoa M 20,kumbe Jamaa hata kibanda hana.
Kwahiyo hilo linakusumbua sana?
 
Inabidi tuunde tume ya kumsaidia ALi kibakuli nashauri mkuu wa mkoa makonda nae ashirikishwe tumfanyie promo kama ya yule Saidi. Aliotobolea macho wafadhili wakumjengea nyumba watapatikana
 
Back
Top Bottom