Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kibakuli katika ubora wake
Sasa wewe umeelewa huwaeleweshi wenzako,acha roho mbaya JF hatuishi hivo.hilo ni bonge la fumbo mwenye akili ameelewa
acha ukurupukaji wa mwendo kasi,thread hazitaki hasira
ENZI HIZO DOGO ANAOMBA KUPIGA PICHA NA MASTAR!Naona siku hizi pombe hatumii.....kipindi cha nyuma alikuwa anapata,na anatuonyeshea.
hana nyumba sio kwamba hana makuu na hata akiwa nayo haifikii kama ya diamond...mafanikio ya mtu hayajifichagi acheni kumpoza kibakuli wenuhapo tu ndo napokuzimikiaga na kukufifia kiba......huna makuu
Mbona ameshika Bavaria Mkuu? Au mihemuko ya kuchangia Thread inakutoka?ENZI HIZO DOGO ANAOMBA KUPIGA PICHA NA MASTAR!
AHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHHA sa hiz wanaatamani awapigie hata simu tu,japo awabeep tu halafu aseme wrong number!
angalau watajua kuwa namba zao zipo kweny phonebook yake!
GOOOOOO DIAMOND GOOOOOOOO!
tulia ujue unanukuu nini!Mbona ameshika Bavaria Mkuu? Au mihemuko ya kuchangia Thread inakutoka?
Wewe.una nyumba uliyojenga
Wewe na kiba mna tofauti gani? Kwani huna sauti ukaimbe upate fedha? Huwezi kuandika mashairi?Pamoja na hayo yeye kapiga Pesa ngapi?then hata kama ni nayo Au sina kama kweli uko rational huwez niuliza swali kama Hilo coz mi c kama alikiba
ila hana nyumba bondeni,manake km ni kuwa na nyumba bongo mbona ata mimi kibol nnayo?Msela hataki makuu yani sio lime light nyumba anayo ila hataki kiki
Wewe na kiba mna tofauti gani? Kwani huna sauti ukaimbe upate fedha? Huwezi kuandika mashairi?
Hizo nyumba za mond utapewa urithi?
Basi tuache kufanya kila kitu tusubiri kifo tu teh teh.Nyumba ya kudumu ni kaburi. Kambarage kaacha mjengo, Ghadafi kaacha mijumba, saddam kaacha mijumba, Fj Kennedy kaacha mijumba. Mandela kaacha kibao South. Mobutu kaacha. Nini nyumba bhana. Hata kobe ana jumba.
Tanzania celebrity! No comment.Basi tuache kufanya kila kitu tusubiri kifo tu teh teh.
Kitu nakipenda kuhusu Diamond ni kuwa kila kitu kwake ni biashara, kupost hizo hizo nyumba na maisha yake kwa ujumla ni biashara, show off zinamlipa sana huyu kijana, nyie ongeeni wee ila Kijana anatengeneza pesa.
the good thing ni kuwa anacho chakuonesha pia. Oh kila kitu kwenye maisha ya msanii ni pesa (if you know warra I mean)