Ali Kiba: Sipigi tena playback, ni muziki wa live tu

Ali Kiba: Sipigi tena playback, ni muziki wa live tu

I second you in some sorts...
Suala la band mmmhh sidhani kama ni idea nzuri!

Ye apige live tu

[QUOTE=samsun;12499922]Hongera yake,ila mi ningekuwa management yake nisingemshauri amiliki Band,ila kuimba live haina ulazima wa kumiliki Band kwa sababu kumiliki Band ni gharama mno maana sasa itambidi amiliki wapiga vyombo wasiopungua 8 waimbaji na wacheza show si chini ya 5 (kumbuka hawa utakuwa nao muda wote ili muwe munafanya mazoezi na mambo mengine) kwa hiyo kuna mambo ya mishahara na posho,unajua kitakachofuata ITAMBIDI AWE NA SHOWS ZA MARA KWA MARA TENA ZA SEHEMU MAALUM KILA SIKU FULANI UTAMKUTA HAPO unajua kitakachofuata HATOKUA NA MVUTO WA KUTAKA KUMJUA ANAKIPYA GANI KWA KUWA UKIENDA MAHALI FULANI UTAMKUTA akawaulize wakina Ally Choki,T.I.D,Banana Zorro. Hajiulizi kwa nn WASANII WA U.S. NA EUROPE WANAIMBA LIVE LAKINI SWALA LA KUMILIKI BAND KWAO HALIPO NA BADO PLAYBACK WANAIMBA. Ni ushauri tu si lazima auchukue, matusi yanakaribishwa kwa sababu nina degree kipengere hiko[/QUOTE]
 
Playback kwa muziki ambao huanzia studio kabla ya kwenda kwa mlaji haikwepeki!! Na hata kibiashara, playback hakwepeki kwahiyo ni kujifurahisha kusema mtu hatatatumia tena playback wakati duniani kote hadi kesho wanatumia playback kutokana na sababu moja au nyingine!
 
we endelea kuweweseka mwenzako anapiga pesa,live band nenda kwa SKYLIGHT band huko.Mtapambanaaa lakini hamtashinda
 
Kiba mdogo wangu we tayari jioni saa 12. Ni vema ukafikiria kuwa na familia babu kijana.

Heshima yako ni kubwa ila huna nyota, huna kabisa. Kitendo cha kutembea na Lulu ndicho kilichozima nyota yako.
Tunasubiri video ya cheketua, tafadhali hii usirekodie tena chooni kama mwana.

Msondo kuna pengo la Bitchuka aliye Sikinde na Marehemu Mbwembwe, nenda ukalizibe tupate burudani

Acha wivu mwache afanye yake na wewe unampangia ka nani
 
hachoshi mtu mnajichosha wenyewe wifi wa taifa huyo ndo maana utambulisho m.city ha ha ha wakitoka hapo hafla fupi ikulu kwa prezident

Hahahahah

Ikulu sio dili

Hata mvaa vipini wa samaki samaki katinga
 
Hiyo live na bendi yake au anaokoteza wanamuziki? Huyu babu kijana tangu enzi zileee alipoimba na R Kelly hadi leo anatembea kwa kusimamia vitu kama mtoto, hajaweza kusimama mwenyewe na kutembea.
Kiba, umebakiza siku chache kimuziki, kumbuka muziki kama mpira vile, umri ukienda utapata wazee wenzako ambao wapo busy kutafuta maisha. Kaa mbali na makupe wanyonyaji. Usikubali sifa zisizo zako, chapa kazi, toa video nzuri. Achana na hao washauri wako wanaokupotosha hadi ukatengeza video chooni.
 
To be honest itamrostisha kibongo bongo

Tatizo la live band inabidi uwe na wanamuziki wako ambao utatakiwa kuwalipa mishahara kwa mwezi na mazoezi almost kila aiku kumbuka kumanage kundi la watu si kitu kidogo hata kidogo kulinganisha na mtu mmoja labda na dj wako na stage show unaowalipa kulingana na shows

Mtu mpekee aliyejaribu band angalau ikadumu kidogo na sasa ipo hoi bin taaban n Jide na Banana Zoroh
 
Back
Top Bottom