rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahahaaahaa....Mrudishieni penseli yake kwanza, msijifanye mmesahau.
Hebu cheki kijana wa juzi juzi tu harmonize anavyobamba kila kona,kachangamsha mitaa kwa album iliyosheheni mikwaju,wewe huskiki kabisa siku hizi tulikutegemea uje umchalenji Diamond umetuangusha,atleast konde anafanya kile tulichotarajia kutoka kwako japokuwa na yeye bado sana kufika level zile ila kwa kudra za Mungu atafika,basi tuache hilo mdogo wangu tunajua mualiko ulikataa kata kata kama ilivyokawaida yako roho ya kukunja,basi toa hata hongera tu kwa kijana Konde kama walivyofanya wenzako wakina WCB kiroho safi kuonyesha kama unajali usione wivu mdogo wangu maisha ndivyo yalivyo leo wewe kesho yeye.
Alikiba ni kama Ronaldinho
Na Diamond ni kama Cristiano Ronaldo..
Inabidi uwakubali kama walivyo
naam hii nimeikubali.Alikiba ni kama Ronaldinho
Na Diamond ni kama Cristiano Ronaldo..
Inabidi uwakubali kama walivyo
Kama kawa nafurahi anavyowaumiza roho kenge nyiekajamaa kana roho flani ya kukunja sana
Tisha sana lunatoc, jamaa wanatamani wanavyotaka wao ndo jamaa awe anafanya puuumbavWabongo bana unataka mtu afanye unavyotaka wewe. Si umchukue mke wako na familia yako mtengeneze band muanze kuimba na muwe mnaenda kwenye mialiko bila kusahau kuanza kumchalenji diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bana unataka mtu afanye unavyotaka wewe. Si umchukue mke wako na familia yako mtengeneze band muanze kuimba na muwe mnaenda kwenye mialiko bila kusahau kuanza kumchalenji diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule jamaa ni mwanaume haswaa...na wanaoumia ni wadada na wanaume wenye tabia za kike..mwaka wa ngapi sijui Kila siku kibaaa,Kiba,Kiba hiv hadi Leo hamjamuelewa jamaa ni mtu wa aina gani???Hahahahhaaa...
Mbaya zaidi jamaa yupo kimyaaa anaendelea na mambo yake ila raia sasa wanavyoteseka!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hawataki kukubali kunguni hawa...na ndo maana inaumiza Kila siku afu sidhan hata kama akina jux na benpol wamepost ila wao ni Kiba tu Kila kukicha...upuuzi ni mzigo mzitoAlikiba ni kama Ronaldinho
Na Diamond ni kama Cristiano Ronaldo..
Inabidi uwakubali kama walivyo
Asiyetegemea kiki wala matukio...anakaa kimya akitoa ngoma Tanzania inatulia anakaa tena kimya wehu wanapiga kelele akitoa nyingine kama kawa...jamaa mtu hatari sanaIle style ya Kiba, kama yupo hayupo, mbaya zaidi na itamfanya akae palepale kama King halisi
Kwamba TANZANIA NZIMA WASANII WAMESAPOTI kasoro Kiba au?Hebu cheki kijana wa juzi juzi tu harmonize anavyobamba kila kona,kachangamsha mitaa kwa album iliyosheheni mikwaju,wewe huskiki kabisa siku hizi tulikutegemea uje umchalenji Diamond umetuangusha,atleast konde anafanya kile tulichotarajia kutoka kwako japokuwa na yeye bado sana kufika level zile ila kwa kudra za Mungu atafika,basi tuache hilo mdogo wangu tunajua mualiko ulikataa kata kata kama ilivyokawaida yako roho ya kukunja,basi toa hata hongera tu kwa kijana Konde kama walivyofanya wenzako wakina WCB kiroho safi kuonyesha kama unajali usione wivu mdogo wangu maisha ndivyo yalivyo leo wewe kesho yeye.
Alikuwa na FID Q wakaondoka wote nikadhani ungemtaja na FID Q ama kweli Kiba ni level ya CORONA anaonekanaga yeye tu.