Aliachana na mumewe baada ya kupima HIV yeye akaonekana hana maambukizi. Anataka anipe mzigo. Je nipige?

Aliachana na mumewe baada ya kupima HIV yeye akaonekana hana maambukizi. Anataka anipe mzigo. Je nipige?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive.

Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii.
 
Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive.

Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii.
Kapime naye mara kadhaa kwa interval ya miezi mitatu
 
Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive.

Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii.
Kama mpaka leo huna maambukizi basi hupati tena maambukizi peleka moto

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuna dawa za kuzuia maambukizi kabla ya tendo. Zinaitwa Prep.
Pia zingine za kunywa saa 72 baada ya kukutana na muathirika. Zinaitwa Pep.
 
We Mara ya mwisho umepima lini? Usije ukawa unahofia kwenda kubadilishana tu aina za mchwa.
 
Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive.

Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii.
Jamiiforums hamishieni topic za hivi kwenye mipasho ondoeni hapa kwenye siasa
 
For you to be on the safe side please use contraceptives.
 
Back
Top Bottom