Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,582 Reaction score 26,053 Aug 20, 2022 #21 Muuza Kangala said: Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15. Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive. Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii. Click to expand... We mle na usisahau kuzama chumvini
Muuza Kangala said: Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15. Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive. Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii. Click to expand... We mle na usisahau kuzama chumvini
DON YRN JF-Expert Member Joined Jan 14, 2019 Posts 606 Reaction score 1,453 Aug 22, 2022 #22 Asa ww uliomba mzigo wa nn km una hofu tena?, nadhani ungebaki na hofu yako tu
Nedlloyd JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 10,361 Reaction score 27,215 Aug 22, 2022 #23 Ntachangia hela ya usafirishaji fuvu