Alichoandika Amri Kiemba kwa Msemaji wa Simba Ahmed Ali juu ya Lameck Lawi

Alichoandika Amri Kiemba kwa Msemaji wa Simba Ahmed Ali juu ya Lameck Lawi

King Leon 1

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2019
Posts
245
Reaction score
342
Mwanamichezo mstaafu na mchambuzi wa michezo Amri Kiemba ameandika maoni ambayo yamenifanya niwaze na kukaa chini kutafakari juu ya kauli na maneno ya msemaji ambayo kila siku yanazidi kushangaza na kumshushia tu Professional wake.

AMRI KIEMBA ANAANDIKA:

Kuna vitu unaweza kuviangalia halafu ukatafakari kisha ukacheka ukajiuliza kwa nini Msemaji wa moja ya Klabu Kongwe nchini anababaisha?

Wote tunajua Lameck Lawi kaenda Ubelgiji kwa ajili ya kutafuta malisho bora ya maisha yake ya soka, kuna stori za kuwa alikuwa anaenda kusajiliwa moja kwa moja KAA Gent ndio hata sababu ya Coastal kurudisha pesa za Simba SC na kuna stori kuwa baada ya kufika alitakiwa kufanya majaribio na timu za vijana kitu ambacho sio kibaya.

Mchezaji kutoka katika kituo chake cha kazi kwenda nje ya nchi kwa timu nyingine kusajiliwa, kufanya majaribio hilo sio suala lake binafsi ni suala rasmi la Klabu.

Msemaji anamkosea sana Lameck Lawi kauli hizi na kama ni kweli hajafuzu majaribio unamfanya kijana ahisi kama amefeli maisha baadala ya kuongea ukwelii tu mambo hayajaenda sawa na kumpa moyo, unaamua kubabaisha, Lawi ana jambo gani binafsi Ubelgiji ambalo alisemeki? mke kajifungua? Familia au mtoto?

Ni vyema tujifunze kutoa habari za kweli au kuachana na kuzungumzia jambo kama hamko tayari kutoa taarifa za ukweli kwa hadhara.

Mwisho kufeli majaribio sio dhambi na wala haina maana huwezi kuinuka au kufika mbali.

Yaya Toure amewahi kufeli majaribio ya kujiunga na Arsenal na miaka baadae alikuja kuwa sio tu Mchezaji wa Man City bali Mchezaji anayelipwa zaidi EPL.

Ipo mifano mingi sana ila Lawi hupaswi kuvunjika moyo rudi home ujipange au tafuta timu nyingine.

1723700101777.jpg
 
Mwanamichezo mstaafu na mchambuzi wa michezo Amri Kiemba ameandika maoni ambayo yamenifanya niwaze na kukaa chini kutafakari juu ya kauli na maneno ya msemaji ambayo kila siku yanazidi kushangaza na kumshushia tu Professional wake.
AMRI KIEMBA ANAANDIKA ;

""Kuna vitu unaweza kuviangalia halafu ukatafakari kisha ukacheka ukajiuliza kwa nini Msemaji wa moja ya Klabu Kongwe nchini anababaisha?

Wote tunajua Lameck Lawi kaenda Ubelgiji kwa ajili ya kutafuta malisho bora ya maisha yake ya soka, kuna stori za kuwa alikuwa anaenda kusajiliwa moja kwa moja KAA Gent ndio hata sababu ya Coastal kurudisha pesa za Simba SC na kuna stori kuwa baada ya kufika alitakiwa kufanya majaribio na timu za vijana kitu ambacho sio kibaya.

Mchezaji kutoka katika kituo chake cha kazi kwenda nje ya nchi kwa timu nyingine kusajiliwa, kufanya majaribio hilo sio suala lake binafsi ni suala rasmi la Klabu.

Msemaji anamkosea sana Lameck Lawi kauli hizi na kama ni kweli hajafuzu majaribio unamfanya kijana ahisi kama amefeli maisha baadala ya kuongea ukwelii tu mambo hayajaenda sawa na kumpa moyo, unaamua kubabaisha, Lawi ana jambo gani binafsi Ubelgiji ambalo alisemeki? mke kajifungua? Familia au mtoto?

Ni vyema tujifunze kutoa habari za kweli au kuachana na kuzungumzia jambo kama hamko tayari kutoa taarifa za ukweli kwa hadhara.

Mwisho kufeli majaribio sio dhambi na wala haina maana huwezi kuinuka au kufika mbali.

Yaya Toure amewahi kufeli majaribio ya kujiunga na Arsenal na miaka baadae alikuja kuwa sio tu Mchezaji wa Man City bali Mchezaji anayelipwa zaidi EPL.

Ipo mifano mingi sana ila Lawi hupaswi kuvunjika moyo rudi home ujipange au tafuta timu nyingine.
Kwahyo semaji la caf linafurahia kufeli kwa lawi kisa2 aliwakataa ubaya ubwela? Duuu!! Kweli ngozi nyeusi Bado hatujitambui
 
Mwanamichezo mstaafu na mchambuzi wa michezo Amri Kiemba ameandika maoni ambayo yamenifanya niwaze na kukaa chini kutafakari juu ya kauli na maneno ya msemaji ambayo kila siku yanazidi kushangaza na kumshushia tu Professional wake.
AMRI KIEMBA ANAANDIKA ;

""Kuna vitu unaweza kuviangalia halafu ukatafakari kisha ukacheka ukajiuliza kwa nini Msemaji wa moja ya Klabu Kongwe nchini anababaisha?

Wote tunajua Lameck Lawi kaenda Ubelgiji kwa ajili ya kutafuta malisho bora ya maisha yake ya soka, kuna stori za kuwa alikuwa anaenda kusajiliwa moja kwa moja KAA Gent ndio hata sababu ya Coastal kurudisha pesa za Simba SC na kuna stori kuwa baada ya kufika alitakiwa kufanya majaribio na timu za vijana kitu ambacho sio kibaya.

Mchezaji kutoka katika kituo chake cha kazi kwenda nje ya nchi kwa timu nyingine kusajiliwa, kufanya majaribio hilo sio suala lake binafsi ni suala rasmi la Klabu.

Msemaji anamkosea sana Lameck Lawi kauli hizi na kama ni kweli hajafuzu majaribio unamfanya kijana ahisi kama amefeli maisha baadala ya kuongea ukwelii tu mambo hayajaenda sawa na kumpa moyo, unaamua kubabaisha, Lawi ana jambo gani binafsi Ubelgiji ambalo alisemeki? mke kajifungua? Familia au mtoto?

Ni vyema tujifunze kutoa habari za kweli au kuachana na kuzungumzia jambo kama hamko tayari kutoa taarifa za ukweli kwa hadhara.

Mwisho kufeli majaribio sio dhambi na wala haina maana huwezi kuinuka au kufika mbali.

Yaya Toure amewahi kufeli majaribio ya kujiunga na Arsenal na miaka baadae alikuja kuwa sio tu Mchezaji wa Man City bali Mchezaji anayelipwa zaidi EPL.

Ipo mifano mingi sana ila Lawi hupaswi kuvunjika moyo rudi home ujipange au tafuta

Mwanamichezo mstaafu na mchambuzi wa michezo Amri Kiemba ameandika maoni ambayo yamenifanya niwaze na kukaa chini kutafakari juu ya kauli na maneno ya msemaji ambayo kila siku yanazidi kushangaza na kumshushia tu Professional wake.
AMRI KIEMBA ANAANDIKA ;

""Kuna vitu unaweza kuviangalia halafu ukatafakari kisha ukacheka ukajiuliza kwa nini Msemaji wa moja ya Klabu Kongwe nchini anababaisha?

Wote tunajua Lameck Lawi kaenda Ubelgiji kwa ajili ya kutafuta malisho bora ya maisha yake ya soka, kuna stori za kuwa alikuwa anaenda kusajiliwa moja kwa moja KAA Gent ndio hata sababu ya Coastal kurudisha pesa za Simba SC na kuna stori kuwa baada ya kufika alitakiwa kufanya majaribio na timu za vijana kitu ambacho sio kibaya.

Mchezaji kutoka katika kituo chake cha kazi kwenda nje ya nchi kwa timu nyingine kusajiliwa, kufanya majaribio hilo sio suala lake binafsi ni suala rasmi la Klabu.

Msemaji anamkosea sana Lameck Lawi kauli hizi na kama ni kweli hajafuzu majaribio unamfanya kijana ahisi kama amefeli maisha baadala ya kuongea ukwelii tu mambo hayajaenda sawa na kumpa moyo, unaamua kubabaisha, Lawi ana jambo gani binafsi Ubelgiji ambalo alisemeki? mke kajifungua? Familia au mtoto?

Ni vyema tujifunze kutoa habari za kweli au kuachana na kuzungumzia jambo kama hamko tayari kutoa taarifa za ukweli kwa hadhara.

Mwisho kufeli majaribio sio dhambi na wala haina maana huwezi kuinuka au kufika mbali.

Yaya Toure amewahi kufeli majaribio ya kujiunga na Arsenal na miaka baadae alikuja kuwa sio tu Mchezaji wa Man City bali Mchezaji anayelipwa zaidi EPL.

Ipo mifano mingi sana ila Lawi hupaswi kuvunjika moyo rudi home ujipange au tafuta timu nyingine.
Kwa Nini umekuwa na kichwa kigumu mpaka umeshindwa kumuelewa Kiemba anamzungumzia nani!!
 
Chuki tu za wabongo hakuna kingine kama mtu anamsagia kunguni kijana anaepambania maisha yake huyo sio mtu ila kwenye jamii yetu wapo wengi..
Sema msemaji uwa anatereza sana kwenye kauli zake na inabidi ajitahidi kujitafakari na kuchunga ulimi wake maana anabeba watu wengi nyuma yake asa mashabiki wa Simba na wanamichezo kwa ujumla
 
Sema msemaji uwa anatereza sana kwenye kauli zake na inabidi ajitahidi kujitafakari na kuchunga ulimi wake maana anabeba watu wengi nyuma yake asa mashabiki wa Simba na wanamichezo kwa ujumla
Vilabu vitafanikiwa kwa sababu wachezaji wageni kuwa wengi ila kama Taifa tutaendelea kuchechemea kwa sababu ya hizi chuki tulizonazo juu ya Wachezaji wazawa kutokupenda wafanikiwe huko Nje..
 
Vilabu vitafanikiwa kwa sababu wachezaji wageni kuwa wengi ila kama Taifa tutaendelea kuchechemea kwa sababu ya hizi chuki tulizonazo juu ya Wachezaji wazawa kutokupenda wafanikiwe huko Nje..
Kabisa, yatupasa tulitafakari ili na tuondoe hii roho
 
Tuliambiwa kwamba Lawi imeshindikana kusajiriwa Simba kwa Sababu anatakiwa na timu Moja huko Ulaya, kwamba anaenda kucheza huko na kwamba Coastal Union wameshapewa pesa za kumnunua Lawi na hiyo Timu ya Ulaya.... Na hii ikawapa kiburi Coastal mpaka wakaivimbia Simba....

Sasa haya mambo kwamba ameenda kufanya majaribio yanatoka wapi tena?..... Si mlisema ameenda kusajiriwa?????
 
Tuliambiwa kwamba Lawi imeshindikana kusajiriwa Simba kwa Sababu anatakiwa na timu Moja huko Ulaya, kwamba anaenda kucheza huko na kwamba Coastal Union wameshapewa pesa za kumnunua Lawi na hiyo Timu ya Ulaya.... Na hii ikawapa kiburi Coastal mpaka wakaivimbia Simba....

Sasa haya mambo kwamba ameenda kufanya majaribio yanatoka wapi tena?..... Si mlisema ameenda kusajiriwa?????
Ni kweli ilikuwa asajiriwe baada ya majaribio lakini ameshindwa kufikia ayo kwaiyo saivi anafanya majaribio timu nyingine. Na pia iyo haihalalishi kwa msemaji kumuongelea kauli izo kwa mchezaji mdogo ambae ana ndoto kubwa kwenye michezo
 
Kwa Nini umekuwa na kichwa kigumu mpaka umeshindwa kumuelewa Kiemba anamzungumzia nan
Kwa Nini umekuwa na kichwa kigumu mpaka umeshindwa kumuelewa Kiemba anamzungumzia nani!!
Soma vizuri Tafadhari ,hii ni nukuu ambayo sijaweka mawazo yangu ya aina yyt apo ,yote ayo kaandika Amri Kiemba ivo basi sijui wewe Umeona wapi mpaka useme sijamuelewa?
 
Kwa Nini umekuwa na kichwa kigumu mpaka umeshindwa kumuelewa Kiemba anamzungumzia nani!!
Soma vizuri Tafadhari ,hii ni nukuu ambayo sijaweka mawazo yangu ya aina yyt apo ,yote ayo kaandika Amri Kiemba ivo basi sijui wewe Umeona wapi mpaka useme sijamuelewa?
 
Back
Top Bottom