Alichoandika Amri Kiemba kwa Msemaji wa Simba Ahmed Ali juu ya Lameck Lawi

Hoja ya kiemba sio kulaumu bali ni kusikitishwa kwa kauli mbaya za kumkatisha tamaa kijana tena mtanzania mwenzetu mwenye ndoto ,ilihali tunasifia wageni tu.
 
Ila huyu lawi kuwa 19 yrs old tumepigwa
 
Chuki tu za wabongo hakuna kingine kama mtu anamsagia kunguni kijana anaepambania maisha yake huyo sio mtu ila kwenye jamii yetu wapo wengi..
Sidhani kama amemsagia kunguni, labda kama mimi nimekuja kwa treni, siuelewi msemo huu. Angekuwa amechangia kufelisha majaribio yake, hapo sawa ingekuwa amemsagia kunguni
 
Wew mtoto mdogo huyo kiemba ana mafanikio gan kwenye mpira wa bongo land s ungesema wakina pawasa ,mogela nk
Atakuja kukujibu @gallow ila kiufupi tu Amri kiemba ni mchezaji aliezichezea club kubwa Tanzania kwa kiwango cha juu sana kama Simba,Yanga,Mtibwa,Azam,Taifa Stars na ata nje ya nchi. Kama tujuavyo mpk mtanzania kuchezea Simba na Yanga kwa wakati mmoja basi alikuwa na uwezo mkubwa sana.
 
Wew mtoto mdogo huyo kiemba ana mafanikio gan kwenye mpira wa bongo land s ungesema wakina pawasa ,mogela nk
Hapa ndo umeonesha utoto wako,kiemba alikua yanga 2005-6,simba 2013,azam,stars 2013,pawasa kacheza kipindi kifupi mno,2003 makundi klabu bingwa na simba,akakataa kwenda sweden,anaenda moro utd,akavunjika mguu,2008 anaenda cbe kusoma certificate
 
Mpira huwa unachezwa hadharan ndomana amestafu mapema jiulize kwa nn pia tuje kwenye swali kiemba amefanikiwa kwenye nn lete statistics zake alikuwa anacheza kiungo
 
Hapa ndo umeonesha utoto wako,kiemba alikua yanga 2005-6,simba 2013,azam,stars 2013,pawasa kacheza kipindi kifupi mno,2003 makundi klabu bingwa na simba,akakataa kwenda sweden,anaenda moro utd,akavunjika mguu,2008 anaenda cbe kusoma certificate
Uko sahihi mkuu
 
Mpira huwa unachezwa hadharan ndomana amestafu mapema jiulize kwa nn pia tuje kwenye swali kiemba amefanikiwa kwenye nn lete statistics zake alikuwa anacheza kiungo
Kwa miaka ya zamani kulikuwa hakuna takwimu unazotaka wewe ila kwa tuliomshuhudia tunajua uwezo wake na asa akihudumu nafasi ya kiungo alikuwa mwiba sana mpaka kuweza kuimbwa na kuzichanganya club za Kariakoo kugombea saini yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…