Kwa maana nyingine mchungaji Masanja anataka Wema abaki home ili Domo akirudi toka kwenye show atundike mimba ambayo haitazaa popompo kwa kuwa mwili wa wema utakuwa umepoa. Kwa hiyo anahamasisha mimba ya uchumba kabla ya ndoa. Aaah pastor, kweli huyu ni pastor mkandamizaji.