Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waduduAnaumwa nini?
kwani yupo hali mbaya sana??Akipona sijui ila namuombea sana arudi uraiani
Maybe maana pale kairuki imeshindikana ,Kidney stone sugu ...??
Mwanamke acha roho mbaya ,jifunze kukaa na vitu moyoniApone kwasabb sio car akiwa mgonjwa. Lkn hii iwe funzo kwake kwamba ipo nguvu zaidi ya nguvu zake za fedha ama watu. Hivyo aww mtu wa kutenda haki na sio kuonea wanyonge
Nilifundishwa na mwalimu wangu kuwa mtu mnafiki usimuamini hata siku moja hata kama anakuambia ukweli! Lissu wamempiga risasi wanakesha na kuomba afe lkn wanamuomba Mungu huyo huyo amponye Ruge, maombi haya ni feki hayatapokelewa! Mungu wetu hayuko double standard!
Jakaya kikwete wana deal na hayo makitu!
Sasa huko sauzi ni kuwashwawashwa na hela tu.
You will never get an answer to that!Anaumwa nini?
si kweli!Kidney stones!
alimuonea nani jamani tujue na sisiApone kwasabb sio car akiwa mgonjwa. Lkn hii iwe funzo kwake kwamba ipo nguvu zaidi ya nguvu zake za fedha ama watu. Hivyo aww mtu wa kutenda haki na sio kuonea wanyonge
Our life is pre-determined from conception if not from spermatogenesis and oogenesis! Then a bishop like pengo tells you that let us pray so god can do that and that! Rubbish! Tunageuzwa as if we can not make sense out of these rubbish religious, lies teachings!It is funny...how a human beings can force God to change his mind for some random human being who is sick!
Maajabu kweli!
Kusali/kuomba/maombi ni kupoteza muda....!
Wakristo are the most confused people to ever appear on earth!.....Anasema mungu keshapanga kila kitu tangu kuumbwa kwa dunia,then he turns around and beg him to change his mind on something for his own selfish reason!
Human beings are dangerous creatures me included!
Kama 2014 ulikuwa form 3 basi jf kuna eatoto wengi humuHiki kichwa kipone haraka!
2014 nilihudhuria fursa iringa nilikuwa form 3 kunakitu jamaa alisema.
Kimenifanya nisiwe tegemezi mpaka Leo
Get well soon ruge
Hahaha kunavijana wadogo sana makini wapo humu!Kama 2014 ulikuwa form 3 basi jf kuna eatoto wengi humu
Born 1985Hahaha kunavijana wadogo sana makini wapo humu!
Binafsi nimejiunga jf mwanzoni 2016 nikiwa 18