Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ingekuwa akina mwajuma huku kwetu
Wangevunja huo mlango wa shoti
Wangevunja huo mlango wa shoti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes na hii ni principal ya mwili wa binadamu ambayo inatawaliwa na mind set... yawezekana hata dingi asiposhuka shimoni kwa siku mbili tatu bby (Eliza) alikuwa anam-miss...who knows !!Sa sometimes inabidi ulegeze mwili ili usiumie maana unajua huna namna ya kumshibiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niliiona kwenye tv kipindi bint amepatikana! Ila mawakili wana roho ngumu kweli yaani wamemtetea huyo mzeeStori ya muda Sana nilisoma gazetini 2012
yaani katika watu wa hovyo hapa duniani sisi weusi tunaweza kuchukua number aisee !! Yaani wote ni wa hovyo ila sisi si wa kuchezea kwenye uhovyo.Wazungu ndio masheitwani wenyewe. Waarabu ni majini tu, na Waafrika ni mapepo wachafu
Ndiyo maana mtu anayeua live hatakiwi kuuawa, alindwe then apewe muda wa kusikilizwa kwa nini aliamua kuua, iliwekezana apewe na ulinzi ili asiuawe hadi hukumu yake itakapotimia - hizi ndizo haki zetu za binadamu zinavyotaka wakati mwingine.Hiki kisa nilikisikia bbc miaka ya nyuma huko.
Ila mawakili mbinguni watapasikia tu yani huyo mzee ni wakutetewa kweli!
Halafu huyo kima alikuwa na matumaini ya kutoka jela aende wapi tena🙄jinga kabisa afie hukohuko.
Unaambiwa kuna milango 8 kabla ya kuufikia huo wa shotiIngekuwa akina mwajuma huku kwetu
Wangevunja huo mlango wa shoti
😜😜😜
Siri ya ulimwengu usioonekana ni beyond our thinking...Shetani anafanya mambo yake kupitia mwanadamu. Hivyo mwanadamu anapofanya jambo lolote baya ujue tayari shetani keshafanya.
Stori ya muda Sana nilisoma gazetini 2012
We call it Stockholm syndrome
Wazungu ndio masheitwani wenyewe. Waarabu ni majini tu, na Waafrika ni mapepo wachafu