Alichofanya Joseph Fritzl, hata shetani asingethubutu



Hiyo ^whether you like it or not^ umeharibu ^car-bee-sir^ yaani. No one can be successfully forced to do what they do not want or like. Ukiona umefanya kitu, jua umeridhia. Ule usemi kwamba huwezi kumlazimisha punda anywe maji, japo umemburuza hadi kumto, unahusika sana hapa. Lastly, siyo ngumu kuondoa hizo laana, kama usemavyo. People must be taught kuhusu right & wrong; God & the Devil. Halafu wafundishwe kumpenda Mungu na kumchukia Shetani na matendo yake yoooote. That's it!
 
Kwa Mara ya kwanza nimeuona utakatifu wa shetani.
 
Wakati mwingine mawakili ni wapumbavu kujaribu kutetea upumbavu kwa njaa za kipumbavu.
 
Kuna wale wapuuzi wanasema mzazi hakosei au ni mungu wa duniani, wakamuambia huyo binti haya maneno.
 
Kwa Mara ya kwanza nimeuona utakatifu wa shetani.
Hapo shetani amekaa kando anajiuliza huyu jamaa no rother angu nini sema Sir hakuniambia๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚
 
Wakati mwingine mawakili ni wapumbavu kujaribu kutetea upumbavu kwa njaa za kipumbavu.
Hawa ni wanafaidika kwa madhambi ya wahalifu anamtetea mtu hata kama anajua kabisa kaua
 
Wakati mwingine mawakili ni wapumbavu kujaribu kutetea upumbavu kwa njaa za kipumbavu.

Wakili alijua VYOVYOTE VILE lazima mteja wake angefungwa miaka mingi jela kama siyo maisha; who in the world would not attempt kusekyua mali zileee given huyo jahili jambawazi alikuwa very rich!??? Usisahau kuwa uwakili ni ajira kama ajira zingine zitambulikazo kisheria, sawa!???
 
Ninamlaumu mke wa huyo jamaa! Alishindwa kutoa taarifa polisi!!
Nadhani uoga kwa kichapo na vitisho vya kuuliwa vilichangia na kwakua hakuwa na uhakika kama kafichwa humo ndani.

just imagine hayo maandalizi ya kujenga HANDAKI yalichukua mda gani?? na wakati wote huu kumbe mlengwa alikuwa Mwanawe
 
Hiki kisa nilikisikia bbc miaka ya nyuma huko.

Ila mawakili mbinguni watapasikia tu yani huyo mzee ni wakutetewa kweli!

Halafu huyo kima alikuwa na matumaini ya kutoka jela aende wapi tena๐Ÿ™„jinga kabisa afie hukohuko.
Anarudi uraiani kufanya mambo mengine๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ