EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #61
Huweezi jua maana biblia inasema Mungu anaangalia mwisho wako na sio mwanzo, ila kwa huyu mwamba sidhani kama atatoboa, mimi SIO MUNGU lakiniSio ajabu nyakati za mwisho utamkuta huyu mzee "high table " amekaa karibu na Mungu.
Sawa lakini Ni ajira za kutetea uovu wakati mwingine. Sikatai mawakili Ni muhimu ila wako 80/20 namaanisha asilimia kubwa wanatetea uovu.Wakili alijua VYOVYOTE VILE lazima mteja wake angefungwa miaka mingi jela kama siyo maisha; who in the world would not attempt kusekyua mali zileee given huyo jahili jambawazi alikuwa very rich!??? Usisahau kuwa uwakili ni ajira kama ajira zingine zitambulikazo kisheria, sawa!???
Kweli kabisa.Hawa ni wanafaidika kwa madhambi ya wahalifu anamtetea mtu hata kama anajua kabisa kaua
Sawa lakini Ni ajira za kutetea uovu wakati mwingine. Sikatai mawakili Ni muhimu ila wako 80/20 namaanisha asilimia kubwa wanatetea uovu.
Mtu Najua kaiba au kaua kabisa ila anajitutumua kutafuta wakili was kumtetea kwa pamoja wanapanga utetezi wa uongo na sababu nyingi plus visingizio ili waonekane hawana makosa.
Hii kesi ya 2008, ila muda unavyozidi kwenda ndio vitu vingine vinazidi kuibuka. Hata gazeti mwaka 2012 lilichelewa kwa miaka 4Kwenye ilo gazeti la 2012, part za matukio ya 2016 waliyapata wapi
Mahakamani hamna "haki" ni ushahidi, process na procedure. Unayeshitaki ukikosea tu, mtu anatoboaSawa lakini Ni ajira za kutetea uovu wakati mwingine. Sikatai mawakili Ni muhimu ila wako 80/20 namaanisha asilimia kubwa wanatetea uovu.
Mtu Najua kaiba au kaua kabisa ila anajitutumua kutafuta wakili was kumtetea kwa pamoja wanapanga utetezi wa uongo na sababu nyingi plus visingizio ili waonekane hawana makosa.
Ilieleza pia kwamba alibadili jina 2016?Stori ya muda Sana nilisoma gazetini 2012
Kwa hiyo ndio maana Tanzania inatoa watu mrenda mrenda kwa sababu ya historia yake?Austria ina binadamu wana roho ngumu aisee hata Adolf Hitler katokea kainchi hako hako ni kama ka tawi ka Ugerman hivi kanatoa watu wenye sampuli za ukatili uliopitiliza kutokana na historia yake ya nyuma.
Inasikitisha sana aisee daaa!
Nadhani hata lile jela la sobibo lilikua austriaAustria ina binadamu wana roho ngumu aisee hata Adolf Hitler katokea kainchi hako hako ni kama ka tawi ka Ugerman hivi kanatoa watu wenye sampuli za ukatili uliopitiliza kutokana na historia yake ya nyuma.
Inasikitisha sana aisee daaa!
Naona unatetea ajira yako mkuuWewe unaongea opinions ambazo oviasli ni pesono. Sheria inasema: ^Evri wan iz inosent antil proven gilt^ ^The impriketing' evidens mast be beyond rizonabo daut^
Haaaha inawezekana sasa kama mwarabu mmoja alichukua watumwa mateka 100 kutoka ujiji kigoma mbaka Bwagamoyo we unadhani kihistoria si tulikua wanyonge ? mbaka Leo awamu ya tano wanyonge tupoKwa hiyo ndio maana Tanzania inatoa watu mrenda mrenda kwa sababu ya historia yake?
Historia yetu mdebwedo sana aisee
Haki Tanzania ni utopolo.Haaaha inawezekana sasa kama mwarabu mmoja alichukua watumwa mateka 100 kutoka ujiji kigoma mbaka Bwagamoyo we unadhani kihistoria si tulikua wanyonge ? mbaka Leo awamu ya tano wanyonge tupo
nadanganya wadau?
yes na hii ni principal ya mwili wa binadamu ambayo inatawaliwa na mind set... yawezekana hata dingi asiposhuka shimoni kwa siku mbili tatu bby (Eliza) alikuwa anam-miss...who knows !!
Kwanini tena.mkuu?Nikionaga wazee(baby au bibi)huwa sipishi siti wala siwaonei huruma.
Hata German sherphard anatokea huko huko nadhani, hatari sana hao watuAustria ina binadamu wana roho ngumu aisee hata Adolf Hitler katokea kainchi hako hako ni kama ka tawi ka Ugerman hivi kanatoa watu wenye sampuli za ukatili uliopitiliza kutokana na historia yake ya nyuma.
Inasikitisha sana aisee daaa!