Ile penati ya Kagere watu wanamlaumu bure,ingeingia angeonekana bonge la mpigaji,sema ilikataa tuTumemsamehe kama Singida walivyo msamehe Kagere
Utofauti ni kwamba Singida wamemsamehe Kagere wakiwa nje ya mashindano
Aisee ni kama ile ile ya Hassan Kessy miaka ile alipokuwa Simba tukicheza na YangaUkifikiria hata alipokuwa anatoa, mchezaji wa Simba asingeweza kuipokea..
Ukweli ni kuwa Kennedy kaifanya ile kwa makusudi kabisa.
Yote kheri. Tusameheane. Singida pia wamsamehe jamaa yetu Kagere
Hizi hasira za nini mkuuKama rahisi kacheze wewe....kote duniani hakuna mchezaji hafanyi makosa......kwenye tv ( Azam ) tunaona rahisi haya upewe ww jezi ukacheza sawa??
Asipocheza pia mnauliza, mnataka nini Sasa???.......tulia msikilizie kocha anajua anachofanya sawa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wanasahau tuIle penati ya Kagere watu wanamlaumu bure,ingeingia angeonekana bonge la mpigaji,sema ilikataa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mechi ya Simba ilikuwa ngumu kwa sababu ya kosa la Kennedy, kwenye mechi kama ile halafu unaamua ku-Maguire ni kitu cha ajabu.
Ile wala hata sio reflection bali kutoa kabisa pasi vizuri kwa adui.
Na wala jamaa hakujutia aliona kama kawaida tu,uzuri Kocha akaamua kumtoa kabisa hakurudi tena baada ya halftime.
Tukio la Kennedy mna maoni gani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile penati watu wamesahau hadi makosa ya Kennedy,sielewi hadi sasa,ile penati mpira haukujaa mguuni au nini,kama shuti la mtotoIla penalty ya Kagere imezingua sana.
Nitakuoa mwaka huu maana unanishobokea sanaTunapowaambia Simba Kuna kiwanda Cha kuzalisha wajinga Taifa hili msibishee!!, Hivi kwa mtu mwenye akili timamu na ambaye anajua mpira anaweza kuja na mawazo ya kitoto Kama yako?, Umewahi kucheza mpira?, Mechi ya kwanza dhidi ya Singida hakucheza? Mbona hukutoa tuhuma hizi?. Ndio maana kwenye nyuzi za wapuuzi wa mwaka 2023 nilikutaja.... Una ushambaaa.... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huyu shoqer au Kuna dada zako unataka unipe?.
Nimekuambia nitakuoa uwe mwelewa basiWewe huyu shoqer au Kuna dada zako unataka unipe?.
Najua unapenda doshii nyeusii... Ntakuletea ili nukutoe kwenye kiwanda Cha ujinga😅. Verseline ninayo Kama ya juzi sawa bidada.
Nitakuoa uwe una subiri bibie usiwe king'ang'aniziNajua unapenda doshii nyeusii... Ntakuletea ili nukutoe kwenye kiwanda Cha ujinga[emoji28]. Verseline ninayo Kama ya juzi sawa bidada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]