Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Jokate anajuta sana kumualika daah!kamharibia sana yaani!huyu baba naona kafanya kusudi ili watu wasijadili contents ya jokate wamjadili yeye,kashindwa kuondoa Zero DSM kafeli kila kitu for sure


Huyu baba Hamna kitu kabisaa...Jana nimezidi kumdharau !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc Chabruma

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
Mbona yeye mwenyewe wa hovyo? Yeye ni kiongozi wa kundi lililowezesha upuuzi-puuzi na wapuuzi kuwa taswira ya mafanikio. Asijitoe ufahamu, punguani waheed!
 
Bashite kaona pierre anamzidi umaarufu chiii anapaa mawinguni. Makamu wa rais alimsifia pierre pale ikulu, inamaana makamu wa rais hana akili anasifia watu wa hovyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa hovyo ni ninyi mnaomkuza Pierre. Na makonda kawakemea watu wa hovyo kama ninyi. Tena watoto. Hakuna mtu mwenye age ya 40 above na ana akili timamu na kazi za kufanya, akakaa kukomaa kumfanya pierre atrend, zaid ya vitoto vya form 4 mpk chuo na tecno zao
Wakiwepo wajinga kama soud brown ambao taifa hili kimezalisha
Dumelang
 
Uliwahi kumkemea alipovamia clouds???????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muone daktari wa magonjwa ya akili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwani akiwa maarufu sababu ya pombe wewe inakuhusu nini au unapungukiwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote hao sio wa kuglorify

Kuhusu wivu wa kike...am proud kuambiwa hivyo, I love wivu wa my mom and my daughters, they are fighters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…