Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Ukiwa attention seeker utafanya jambo lolote ata kupiga wazee.
 
Mgaagaa na upwa hali wali mkavu. Huyu tayari anagaagaa wacha apate kitoweo chake.
 
Ni mambo ya ajabu sana ndugu yangu
Huyu Pierre hajihusishi na siasa, hatukani MTU, anakunywa kwa furaha ya maisha yake. Kosa lake ni kuwa na nyota ya kupendwa na wananchi? Hajawahi kuita waandishi was habari kujitangaza.

In God we trust
 
.

Jr[emoji769]
 
Hapana makampuni hayatajitowa,Bali ndo kwanza yataongezeka, ni kama kumpiga chura teke.
 
Be precise plz.Ameomba radhi kwa kumdhalilisha Pierre au ni taarifa kuwa alitafsiriwa vibaya na hadhira yake?
 
Napigilia msumari hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya Pierre na makonda, nani wa hovyo?
Hahahaaaa jibu lipo wazi kabisa mkuu!! Mtu aliyetumia mihela ya wazazi wake waliomsomesha kisha kisha Akaja na masifuri tupu nyumbani huyo ni mtu wa hovyo!! Mtu ambaye aliiba cheti cha mtu mwingine na kuiba hadi jina huyo ni wa hovyo!! Mtu aliyekosa adabu hadi kufikia kumpiga ngumi hadharani mtu mwenye umri wa babu yake huyo ni takataka na wa hovyo kabisa!! Mtu anaye jivua utu wake na ubinaadamu ili tu apewe cheo huyo ni wa hovyo! Mtu amepewa cheo na anakitumia kufanya mambo ya kipumbavu kama kuvamia ofisi za watu kwa bunduki na kulazimisha kupewa msamaha wa kodi bandarini kwa lazima huyo ndiye wa hovyo!! Mtu anayeropoka ropoka na kutajataja majina ya watu huku akiwatuhumu kwa mambo ya uzushi usio na ushahidi huyo ni pumbaf na wa hovyo kabisa!!
 

Kuwafanya watu wanywe pombe ati kwa sababu tu timu yetu imeshinda ndiyo upumbavu uliopiliza.Nampongeza sana sana Makamu wa rais alivyomponda BASHITE kwa kutokubaliana na mambo yake ya kijinga ya kuwafanya watu walewe chakali.Ilinishangaza sana pale BASHITE aliposiamama na kuwaombea msamaha WALEVI WOTE walioshindwa kwenda makazini siku iliyofuata.Kwa aina hii ya uongozi,unategemeaje nchi isiwe ya KIJINGA.
 
Kwani kuna aliyekushika mkono kufatilia mambo Yasiyo ya msingi?? Hata walioendelea wana watu wakila dizaini watu wanacho pinga ni udhalilishaji aliofanya makonda kumuita mtu wa hvyo jambo ambalo kwa katiba ya nchi nikosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…