Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Bashite ana wivu wa kike
Vita hii ya maneno sio kati ya bashite na Pierre Bali ni ya jokate na bashite.
JOKATE is the next RC of dar es salaam
Nasi tunalialia huku kwenye mitandao iliyosheheni wasomi lakini Pierre hawezi pata msaada wa wanasheria ili ikajulikane kati yake Pierre na mwizi wa vyeti nani mtu wa hovyo kwenye jamii!
 
Bashite mwenyewe kachutamaaaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nani aliyekwambia kuwa Pierre ni mlevi?? Pierre ni mfanya vituko tu na wala hajavunja sheria yoyote!

Huyo mtoto wako ushindwe kumlea usingizie ulevi!? Hebu acha utani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huenda yupo sahihi lakini kauli aliyotumia sio nzuri mbele ya watu,tv na makamera eti pieere ni mtu wa hovyo hovyo tu hana maana mtu mpaka kaalikwa then unaongea pumba unazani anajisikiaje? kwamba amealikwa kuja kuaibishwa! hao wa maana wapo kibao wamealikwa hawakwenda lakini pieere kaenda nakatuoa hadi mchango wa hela kama laki moja
 
Ni nani aliyekwambia kuwa Pierre ni mlevi?? Pierre ni mfanya vituko tu na wala hajavunja sheria yoyote!

Huyo mtoto wako ushindwe kumlea usingizie ulevi!? Hebu acha utani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani eti anaharibu watoto...??? mamaee hivi piete ndo mtu pekee anaekunywa pombee tanzania????? Watz kwa roho za kwa nini tumezidi mamaeee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kazingua namna ya Kuongeaa...!! Hakutakiwa kumtaja Piere direct wala kumsema vibaya mbele za watu....[emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kazingua namna ya Kuongeaa...!! Hakutakiwa kumtaja Piere direct wala kumsema vibaya mbele za watu....[emoji22][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaaa kazingua mwenye shughuli yake jokate kasema ameuona mchango wa pieere na anaomba samahani hakujua kama hayo yatatokea na amesema kuna watu kibao kawaalika waje lakini hata kuja tu hawakuja ila piere kaenda ila jamaa yeye anakaza tu na post zake bora angekaa hata kimya tu
 
Hawa ndio watu ninaowapenda ktk maisha yangu yaani unajenga hoja siyo kubishana hongera mkuu umekuwa na hekima sana kwa hili!!!

Naunga mkono hoja yako kwamba kosa la makonda liko pale kwenye hayo maneno !!! Angetumia hata maneno mengine ila syo kufanya total devaluation kwa mhusika !!!

Lakn kupitia comment yako hii nmejifynza kitu kwamba ukiwa kiongozi unatakiwa uwe kiongozi kweli , so Makonda binafs kama alikuwa na lengo la kupiga vita ulevi namuunga mkono ila kama alikuwa na hoja zake bikafs ikiwemo chuki hapo kachemka !!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugha aliyotumia ni mbaya
Na ukizingatia muhusika alikuwa pale

Na pia Makonda hana moral authority ya kumsema Pierre sababu kilichompa umaarufu pierre ni pombe

Na yeye ni wiki iliyopita tu katoka kutoa ofa ya nusu bei kwa walevi

Na yaliyotokea sote tunajua

Kwa hiyo kama pombe inampa kiki Pierre ni pombe hiyo hiyo imempa kiki Makonda last week

Hivyo hapaswi kumsema jamaa tena vibaya hivyo. Ingawa kuna point ya media priority ni Tanzania ila asiilete kwa kumkandamiza Pierre

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nani aliyekwambia kuwa Pierre ni mlevi?? Pierre ni mfanya vituko tu na wala hajavunja sheria yoyote!

Huyo mtoto wako ushindwe kumlea usingizie ulevi!? Hebu acha utani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo unafanya utani!!!

Acha kuwa na mawazo finyu mtoto haimaanishi nibwa kwako tu !!!!!

Mtu kama yule ana influence kubwa kwenye jamii hata mwanao anamtazama na kujikuta anavutiwa kunywa !!! Kuna ma role models saizi wa huyu bwana sasa jarbu ku connect dots !!!

Kwann wasanii wanaoimba nyimbo za hovyo wanafungiwa ??? Think Big ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwani wewe unafunga mjadala kama nani?

Tiba
 
pierre anakunywa bia tu na sio mlevi..
Na kama pombe ingekuwa kosa hivyo kama unavyotuaminisha kwa nini serikali inapokea kodi kutoka kwenye pombe?
Na unawezekana hata wewe umesoma kutokana na kodi iliyokatwa kutoka kwenye pombe au unapita kwenye barabara iliyojengwa kutoka kwenye kodi ya pombe..

ILI WOTE TUSIWE WANAFIKI KATAZENI WATU WASINYWE POMBE NCHI NZIMA
 
Wewe ndo mpuuzi !!! Mara ngapi jamii inapiga vita mtendo mabaya kama ulevi???? Hv ww unaongea kwa kufikiria??? N vijana wangapi wanaishia kwenye ulevi ???

Ungesema au kukosoa namna alivyo mubaddress makonda hapo ningekuwa pamoja na ww !!! Makonda kakosea namna alivyo mu address mbele ya macamera na maneno aliyotumia ila ulevi upo pale pale huyu bwana ni mlevi japo anajitetea kuwa yeye mnywaji na hii haimaanishi ati mie sifurahii anachofanya but ni mlevi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
poa poa mkuu kiongozi inatakiwa kidogo atumie hekima na busara hata kidogo.

yale maneno yake yanatosha kabisa kumfanya mtu maisha yake yote yakabadilika na kuwa ya kinyama kwa sababu anaona kama hana faida yeyote hapa duniani

kuna watu wengine hawawezi kuvumilia aibu hata kidogo mtu anaweza hata kujinyonga usiku kisa kapata aibu au katengwa .tena aibu hiyo imetoka kwa kiongozi wake...
 
Hivi unadhani Pierre ndio mlevi pekee Tanzania? Kuna walevi wangapi walikuwapo kabla yake?. Halafu unapaswa kuelewa kuwa Pierre hajatafuta umaarufu kwa nguvu, yeye alikuwa mfanya vituko tu pale Liquid Pub then watu walikuwa wanamrekodi na kupost kwenye magroup yao.
Kwa kiongozi Hakupaswa kumuita Yule Mtu wa hovyo wakati Mechi ya Taifa stars wao walimtafuta na kumtumia kwenye uhamasishaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko unajua kitu kinaitwa eco system??? Hivi hao walevi mnaowaita wa hovyo umeshawai kujiuliza wakigoma kunywa pombe hata week tuu nini kitatokea??? Kifupi kila MTU uwepo wake hapa duniani unafanya mambo mengne nayo yaende..
Ushajiuliza wezi wasingekuepo kuna watu wangapi wangekosa ajira???
Au ushajiuliza walevi wote wakiacha kunywa pombe ni kodi kiasi gani itapotea????
La mwisho kabla ya kusema watanzania wajitathmini mi naona we ndio ujitathimini maana hujui vitu na matokeo yake.. Afu wee akili yako ya kawaida saanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…