July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
facebook ndo nn?Kwa habari za mastaa like page hii on facebook <br />https://m.facebook.com/Habari-za-mastaa-wa-bongo-716094678429818/
Hizi ndio akili ndogo.
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini mtihani mmoja wengine wanapata zero? Je umewahi kujiuliza pia ni kwa nini wewe haujawahi kuwa number one darasani?Mbona ukienda kwenye instagram page yake diamond , video amejirecord mwenyewe na kawaomba msamaha mashabiki zake kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake na si kama kadhulumiwa. Ila si shangai wabongo ni mabingwa wa kuedit story hebu acheni habari za uzuri..
Heri Mimi sijasema!!facebook ndo nn?
Nani kakwambia nilienda kupiga picha daraja la Kigamboni?
Na ubaya uko wapi kama nilienda kwa usafiri wangu na kutumia kamera yangu?
Kamera yangu hata nikitaka kupiga picha mavi ya paka napiga tu. Si ni yangu....kwani yako?
hahahaaaMkuu unaniangusha na wewe ni wa kwenda kupiga picha daraja LA kigamboni[emoji16][emoji16]
tehtehNani kakwambia nilienda kupiga picha daraja la Kigamboni?
Na ubaya uko wapi kama nilienda kwa usafiri wangu na kutumia kamera yangu?
Kamera yangu hata nikitaka kupiga picha mavi ya paka napiga tu. Si ni yangu....kwani yako?
....hahahahahaha...acha mashauzi!..watu wazima tunajua Kinondoni Muslim walikuwa wanasoma mazwazwa vichwa nazi grade ya mwisho kabisa!Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini mtihani mmoja wengine wanapata zero? Je umewahi kujiuliza pia ni kwa nini wewe haujawahi kuwa number one darasani?
Majibu ya maswali hayo utayapa ukirudia kusoma thread yangu na huu ushuzi wako uliondika hapa.
Ni msanii wa TZ mwenye hadhi ya kimataifa, ambaye hadi ALIOWAKUTA NA AKAWAPITA WANAPAMBANA NAE.Diamond ndio nani