Tony Yeyo JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 729 Reaction score 555 Aug 1, 2022 Thread starter #41 Dabil said: Anakuambia huwezi kuingia kinyume nyume kwenye gheto la popobawa Click to expand... Nimecheka sana
Dabil said: Anakuambia huwezi kuingia kinyume nyume kwenye gheto la popobawa Click to expand... Nimecheka sana
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Aug 1, 2022 #42 Tuachieni Mandonga wenu,tupo nae mpaka tuhakikishe mmemuua.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 23, 2022 #43 Anajiamini sana...
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Oct 16, 2022 #44 smarte_r said: kuna kitu kizuri nakiona kwa mandonga. wakati utaongea. kwa sasa tunamcheka na kumdhihaki kwa vipigo vya KO anavyochezea. Mungu atakuja kumfuta machozi soon nje ya boxing. Click to expand... Kweli Mkuu utabiri umetimia.
smarte_r said: kuna kitu kizuri nakiona kwa mandonga. wakati utaongea. kwa sasa tunamcheka na kumdhihaki kwa vipigo vya KO anavyochezea. Mungu atakuja kumfuta machozi soon nje ya boxing. Click to expand... Kweli Mkuu utabiri umetimia.
Mrao keryo JF-Expert Member Joined Aug 29, 2022 Posts 1,901 Reaction score 2,566 Oct 16, 2022 #45 njumu za kosovo said: Sasa alivyokua anajinadi mtaani na kina nyumbi bombi wakampatia hadi jeep auze nalo sura akatangaza hadharani mpinzani wake aje na jeneza lake ebwaneee kilichotokea sasa unaambiwa mpaka muda huu Mandonga anatema meno badala ya mate huko Click to expand... Hivi alipewa lile Jeep la Ngonyani?
njumu za kosovo said: Sasa alivyokua anajinadi mtaani na kina nyumbi bombi wakampatia hadi jeep auze nalo sura akatangaza hadharani mpinzani wake aje na jeneza lake ebwaneee kilichotokea sasa unaambiwa mpaka muda huu Mandonga anatema meno badala ya mate huko Click to expand... Hivi alipewa lile Jeep la Ngonyani?