Very trueKigwangala naona kumpa wizara ya afya ni mistake
alipaswa kuwa waziri wa sanaa...
we nyumbani kwenu kuna matatizo mangapi lakini huyaongelei kila SAA? hata kigwangalla ana nafasi ya kutoa maoni nje ya wizara yake!! msimlazimishe kila mda azungumzie madawa na wajawazito kila kitu kina utaratibu wake.unaacha kuongelea madawa hospitali unaongelea marashi ya sh laki moja,
Kwhyo Wanataka Kutuambia Diamond Ana Kiwanda?Lakini hii perfume ni ya Diamond?
mbona niliwahi sikia deal ni ya Kusaga?
Mkuu kama umenifungua macho vile, maana Leo nliona wakipokewa vizuuuri na kipindi chao cha clouds fmLakini hii perfume ni ya Diamond?
mbona niliwahi sikia deal ni ya Kusaga?
Hahaaa kwa nini?
Kwa sababu yupo active kwenye social media na kwenye kutoa mawazo yake juu ya mambo mbalimbali?
haujui kama Kigwa ni binadamu kama binadamu wengine..?Hospital ya Muhimbili kitengo cha wamama wazazi kimefurika wagonjwa..
Unaingia Leba ukiwa umelala chini tena sio wodini ila kwenye korido na ukitoka Leba unarudi chini pale pale kwenye korido.. Aibu kubwa
Hospital ya Mtwara LIGULA imesimamisha huduma za maabara sababu hospital haina MAJI.. Shameful indeed.
Ocean Road kuna jam ya wagonjwa wanaosubiri treatment ya mionzi. Jam ya kutisha, sababu ni moja tu.. Nchi nzima ina mashine moja tu kwa hii kazi.. AIBU.
Kingwangwalah shugulikia Hizi changamoto.
Mkuu inamaana ukiwa naibu waziri huna mawazo tofauti na mambo ya afya?Mama zetu wanajifungulia chini hamna vitanda,dawa hamna, badala ya kuhangaika na changamoto izi kazi kushinda insta na wakina mange shenzi kabisa kigwa
Hahahaha haters munakazi sana!!mulianza kusema Wasafi ni ya Ruge,mukaja mukasema Wasafi.com ni wakusaga,mukaja mukasema hata Zari bado ni mpenzi wa Ivan,tena mukakazia kwamba hata Tiffah na Nillan ni watoto wa Ivan.Haiwezi kuwa ya diamond peke yake ameshare na kusaga na gsm