Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
kuna niniHe he hakuna perfume pale
Collabo ya Diamond na Joe!!Lakini hii perfume ni ya Diamond?
mbona niliwahi sikia deal ni ya Kusaga?
hi boss[emoji23][emoji112]Lakini hii perfume ni ya Diamond?
mbona niliwahi sikia deal ni ya Kusaga?
Wewe ndiyo Wolper??Unafikiri upo insta hapa kwa dada yako mange hapa?
Waswahili kwa wivu mmeshindikanaLakini hii perfume ni ya Diamond?
mbona niliwahi sikia deal ni ya Kusaga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sanaWema kachukua katoni nzima.
By the way,vipafyumu vyenyewe ni vimeisha mda wake huko ulaya anavibandika nembo yake basi anauza.
Ni wazo zuri, ila kiwanda hicho hakitengenezi chupa 5000 tu za Diamond kinatengeneza na za wengine.dimond hicho kiwanda kinachokutengenezea kiambie kije kijenge kiwanda tz
ni sawa nadhani watapata wengine tzNi wazo zuri, ila kiwanda hicho hakitengenezi chupa 5000 tu za Diamond kinatengeneza na za wengine.
Kwa demand gani tuliyokuwa nayo?ni sawa nadhani watapata wengine tz
nalo ni tatizo aiseeKwa demand gani tuliyokuwa nayo?
Labda alimsikia mchungaji msigwa akilisema nae ndo akalimeza kama lilivyohivi nje ya box ya kigwa ni ipi au ameamua kutumia huo msemo bila kujua
Kuna nini ?He he hakuna perfume pale
hahahah udi hautoshi aogelee kwa chibu perfumehaya sasa kazi kwake Wolper ajipulizie mwili mzima.