Alichokifanya Baleke jana asirudie

Edson Carrington

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2022
Posts
216
Reaction score
636
Habari wakuu,

Hutakiwi kuwa kwenye tension kwa kiasi kile, na hatukuwa na haja ya kuwa panic kwa kuwa tayari tulikuwa tukiongoza kwa bao mbili zidi ya upinzani.

Unapopanic unasababisha loose ya concentration kwako mpaka kwa wenzako, hivyo mindset ina change na umakini unapungua kwa kiasi kikubwa.

Baleke hakutakiwa kupanic alitakiwa kurudi kuzuia na kuwapanga wenzake na si kufanya kama ilivyokuwa.

Mpira ni nidhamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baleke alikua sawa tu. Mwarabu hana adabu uwanjani sema sijui labda hujawahi kabiliana nao uwanjani wana mbinu chafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…