Alichokifanya Gerson Msigwa, New York alipaswa akifanye Siku Zote Ikulu. Zuhura Yunus Asiwe Bubu!

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu (DPC), Zuhura Yunus akizungumza na Vyombo vya Habari Ikulu jijini Dares Salaam leo Tarehe 12 Novemba, 2022

This is good!, huyu sasa ndio Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu.
Ukitokea mtu ukashauri jambo, halafu ukashuhudia hilo jambo linatelelezwa kama ulivyo shauri, hata kama utekelezaji huo sio kufuatia ushauri wako, hata usinge shauri wewe jambo hilo lilikuwa tayari kwenye mpango mkakati wao, bado huna budi ku appreciate. Alichokifanya Gerson Msigwa, New York alipaswa akifanye Siku Zote Ikulu. Zuhura Yunus Asiwe Bubu!
Hili limetekelezwa!.
Hongera Zuhura Yunus.
P
 
Kuzungumza wala si tatizo sana. Tatizo kubwa ni uongo uliojificha kwenye yanayo zungumzwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…