Papaa Azonto
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 319
- 277
Pole sana, sisi tumo na Yanga anakimbiza balaaMi kama ni uzalendo ulinishinda kwenye timu za Tanzania ususani yanga na simba
wewe ndo tatizo inawezekana hujui watermark ni niniMleta maada sijui unachokizungumzia nini? hapo msimamo au ulitaka simba iwe na na mstari mweupe au red sijakuelewa nijuze ndg
Wamchangani mnachekesha kweli kweli!
Leo mmesahau magori na el maalim jinsi walivyo inyanyasa yanga kwa kutumia marungu waliyokuwa nayo FAT na CAF?
HehehhheWamchangani mnachekesha kweli kweli!
Leo mmesahau magori na el maalim jinsi walivyo inyanyasa yanga kwa kutumia marungu waliyokuwa nayo FAT na CAF?
Kiongozi njoo huku tuomboleze mnyama amechezea mfueni!!Katika hali ya kushangaza Rais wa TFF , Jamal Malinzi ameweka bandiko la msimamo mpya wa ligi iki na nembo ya NAIPENDA YANGA .
Nembo hii iko katika hali ya watermark.
Rais anakopi duhKuna page kule Facebook inaitwa NAIPENDA YANGA ndio waliweka huo msimamo Jana jioni. Nadhani ndio aliikopi kama ilivyo Na kuipesti huko Twitter Na ukiikopi jina la page halitoki....!!!
Na kipigo cha leo mtamsingizia MalinziRais anakopi duh