Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
Hizi tabia za kitanzania na za kihuni kuwa huwezi ondoka kwenye taasisi kimya bila kusema mabaya ni malezi ya ajabu sana. Mimi ni mwana yanga kindakindaki lakini alchofanya manara na alichofanya Dr Slaa wakati ule wa 2015 vinafanana.
Tujifunze kuwa wakimya maana kama ni ubaya wa kitu huja kujionyesha wenyewe sio mpaka mtu atoke kutumia nguvu kuusema wakati na yeye alikuwa ndani ya taasisi. Wakati wa mabadiliko aliyapamba tukamwamini hii leo anakuwa kama mwanamke. Alimsema senzo vibaya sana, lakini hii leo anamkumbuka kwa kumlindia kibarua Simba. Tujifunze kutowaendekeza watu katika maisha yetu.
Na ntakuwa mwana Yanga wa kwanza kupinga huu ujinga wa Manara.
Tujifunze kuwa wakimya maana kama ni ubaya wa kitu huja kujionyesha wenyewe sio mpaka mtu atoke kutumia nguvu kuusema wakati na yeye alikuwa ndani ya taasisi. Wakati wa mabadiliko aliyapamba tukamwamini hii leo anakuwa kama mwanamke. Alimsema senzo vibaya sana, lakini hii leo anamkumbuka kwa kumlindia kibarua Simba. Tujifunze kutowaendekeza watu katika maisha yetu.
Na ntakuwa mwana Yanga wa kwanza kupinga huu ujinga wa Manara.