PURT50
Member
- Oct 20, 2018
- 43
- 36
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Emmanuel Amunike amejibu suala LA wadau wengi wa soka nchini kulalamkia kitendo cha kutomwanzisha mapema straika John Bocco.
"Hii ni Taifa Stars na sio Simba,mchezaji atapangwa kwenye mechi kulingana na kiwango alichokionesha mazoezini" alidai Amunike
"Hii ni Taifa Stars na sio Simba,mchezaji atapangwa kwenye mechi kulingana na kiwango alichokionesha mazoezini" alidai Amunike