Alichokisema Lady Jaydee kuhusu Ray C

Nawashtua kidog naona mmezubaa sana soon narud binam, natak tu mjue kamanda nipo bado

mi naomba unijuze kuna kastori huku kitaani kwetu kuwa jide kachaguliwa kuimba nyimbo ya world cup pamoja na mkenya octopizo, kama ni kweli naomba wadau msifungue uzi mpya kuhusu hilo maana seva zitajaa bure
 
Naskia ule wimbo wa teja wa mapenzi alimwimbia ray c. Kweli?
 
mi naomba unijuze kuna kastori huku kitaani kwetu kuwa jide kachaguliwa kuimba nyimbo ya world cup pamoja na mkenya octopizo, kama ni kweli naomba wadau msifungue uzi mpya kuhusu hilo maana seva zitajaa bure

Hahhhhhahhhhahhha hiiii kalii jamaniii aiseeer labdaaaa
 
Naskia ule wimbo wa teja wa mapenzi alimwimbia ray c. Kweli?

Mmmh binamu umetisha, mi nilijua kajiimbia yeye amekuwa teja kwa Gardner maana pale jide umwambii kitu
 
Eeeeheer palee jamani sijui kuna watu wana asalii

Jamaa mwenyew sasa ,matundu yote anaingiza ,jamaa anapenda sana papuchi, Dinazarde ukimtaka fasta nakuunganishia, tupate complimentary za bure nyumbani lounge maana mademu weng ndo wanagongwa ili waingie shoo za jide bur
 
Last edited by a moderator:
Jamaa mwenyew sasa ,matundu yote anaingiza ,jamaa anapenda sana papuchi, Dinazarde ukimtaka fasta nakuunganishia, tupate complimentary za bure nyumbani lounge maana mademu weng ndo wanagongwa ili waingie shoo za jide bur

Ntake radhiii miee nimpeleke wapiii mie huyo anaelelewa na mwanamkee lol wagongwe tu hao wa bei za complimentary lol km
 
Last edited by a moderator:
Jamaa mwenyew sasa ,matundu yote anaingiza ,jamaa anapenda sana papuchi, Dinazarde ukimtaka fasta nakuunganishia, tupate complimentary za bure nyumbani lounge maana mademu weng ndo wanagongwa ili waingie shoo za jide bur

Mchaga kama hapendi pombe basi anapenda papuchi..

Naongea kama mchaga kutoka kibosho-umbwe.
 
Last edited by a moderator:
mi naomba unijuze kuna kastori huku kitaani kwetu kuwa jide kachaguliwa kuimba nyimbo ya world cup pamoja na mkenya octopizo, kama ni kweli naomba wadau msifungue uzi mpya kuhusu hilo maana seva zitajaa bure

Ni kweli kaka , kapata shavu jide kwenye wimbo wa kombe la dunia
 
Ntake radhiii miee nimpeleke wapiii mie huyo anaelelewa na mwanamkee lol wagongwe tu hao wa bei za complimentary lol km

Jaman binamu hutak kula pesa za jide ? Hutak uke wenza na commando? Sema apo lazima gym ikuhusu binamu...nenda bhna kwan kit gan c unafuat mkwanja??
 
Jaman binamu hutak kula pesa za jide ? Hutak uke wenza na commando? Sema apo lazima gym ikuhusu binamu...nenda bhna kwan kit gan c unafuat mkwanja??

Binamu utaniudhii oooohh sio saizi yangu haoo
 
na wewe nae kuchagua shaur zako, wee endelea kusugua gaga na utaisoma namba mwka huu

we jamaa unajibu umbea tu badala ya kujibu kwa ufasaha swali muhimu.
ni kweli jide, octopizo na mmarekani mmoja mwwnye asili ya brazil jina limentoka ataimba huo wimbo maalum wa kombe la dunia uloandaliwa na cocacola kama alivyofanya K'naan ktk WOZA 2010 na wimbo ake wa 'weaving flag'(if ndo jina sahihi la wimbo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…