warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mwanamuziki legendary kutoka bongo Fleva , Judith Wambura aka Lady Jaydee amefunguka kwa Mara ya kwanza kuhusu mwanamuzik mwenzie Ray C kuhusu scandal ya madawa ya kulevya, huyu apa Jide
Mwandishi: Ray C ni mwanamuziki mzuri sana lakini apo kati kati alipata tatizo la madawa ya kulevya, unamzungumziaje?
Lady Jaydee: Narudia tena, kwenye intavyuu hii nisingependa kumzungumzia mtu ila ni kweli kuna wasanii tunawaona na wengine ni marafiki zetu, lakini ni vizuri wakaacha kwa sababu unga unafifisha ujenzi wa taifa haswa kwa vijana ambao ndio tegemeo.
Mwandishi: Ray C ni mwanamuziki mzuri sana lakini apo kati kati alipata tatizo la madawa ya kulevya, unamzungumziaje?
Lady Jaydee: Narudia tena, kwenye intavyuu hii nisingependa kumzungumzia mtu ila ni kweli kuna wasanii tunawaona na wengine ni marafiki zetu, lakini ni vizuri wakaacha kwa sababu unga unafifisha ujenzi wa taifa haswa kwa vijana ambao ndio tegemeo.