magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Tshishimbi ambaye ni raia wa DR Congo alisema: “Hao wanaosema nimegoma wana msongo wa mawazo, nigome sasa wakati mambo mazuri, kama kugoma ningegoma huko nyuma mambo yalipokuwa hovyo, nilikuwa naumwa na sasa naanza kurejea kwa maelekezo ya madaktari.”
Source: Mwanaspoti
Source: Mwanaspoti