Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Ndio kusema kwamba hizi ni kampeni za kwenye Uchaguzi? Walimu kama mnaamini haya mambo ya CCM ya kila mwaka mjitafakari sana
==============================================
Akizungumza wakati wa kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo kwa mwaka 2014, toleo la 2023, Rais Samia Suluhu Hassan amesema maboresho hayo yanatakiwa kuendana na mazingira ya Walimu kuboreshwa na kuwa Serikali itapitia maslahi ya Kada ya Walimu
-
Ndio kusema kwamba hizi ni kampeni za kwenye Uchaguzi? Walimu kama mnaamini haya mambo ya CCM ya kila mwaka mjitafakari sana
==============================================
Akizungumza wakati wa kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo kwa mwaka 2014, toleo la 2023, Rais Samia Suluhu Hassan amesema maboresho hayo yanatakiwa kuendana na mazingira ya Walimu kuboreshwa na kuwa Serikali itapitia maslahi ya Kada ya Walimu
-