Alichokisema Wema Sepetu akiwa Polisi, leo kasahau yote

Alichokisema Wema Sepetu akiwa Polisi, leo kasahau yote

Wao lini walikuambia ana akili? kumtumia mtu kisiasa sio kumaanisha kuwa ana uwezo wa akili.Unadhani Ndugai anavyomtumia Lusinde Bungeni ni kwa vile anaamini ana akili kubwa kuliko Ngeleja?
Lusinde ana akili kubwa kuliko Ngeleja mkuu, sema tu Ngeleja ana vyeti vilivyolimit uwezo wake wa kufikiri!
 
mi nilishaga mjua tu alivyokuwa ananyonywa ndimi na vitoto nikajua tu huyu kilaza huyo demu hata wanaomshabikia ukiwaangalia ndio wale wale
Unakosea sn, mm sio team Wema
Niliuliza swli doogo san
Amepimwa IQ yak au kajuaje?. Kuwa anaLow IQ
 
Mi nilichojifunza ni kuwa.." Atakayebaki chadema hadi baada ya 2020, bac ni shujaa zaidi ya Mandela". Mateso wanayopata wapinzani hivi sasa, hata makaburu wa SA hawakuwafanya hivi wapinzani wao.
Manunuzi yanalenga wachache sio wapiga kura au wafuasi wanaume wanabaki,wavulana na wafanyabiashara lzm waondoke.
 
Mi nilichojifunza ni kuwa.." Atakayebaki chadema hadi baada ya 2020, bac ni shujaa zaidi ya Mandela". Mateso wanayopata wapinzani hivi sasa, hata makaburu wa SA hawakuwafanya hivi wapinzani wao.
Manunuzi yanalenga wachache sio wapiga kura au wafuasi wanaume wanabaki,wavulana na wafanyabiashara lzm waondoke.
 
Kuna kitu watu hawajakisoma vyema ukiangalia macho ya Wema.
Wema ana tatizo la akili, au tuseme Wema ana kiwango cha chini sana cha IQ nadhani amejaliwa tuu makalio (kama haitakuwa kazi ya mchina). Huwezi kulinganisha kiwango cha IQ cha Wema hata na yule sijui wanamwita Ebitoke (anisamehe kama nimekosea jina lake) wa komedi.
Ukiwa na matako makubwa akili yote hua inahamia hapo matakon sasa saa ngapi utaweza kufikiria vzuri ilhali umekua unaikalia akili yako????lazima akili iwe na kifafa tuuu,we huon anavyohangaika miaka yote hana mafanikio mpka akafikia hatua ya kuiba umeme na maji huku akidanganya ile nyumba alijenga kwa mil 400 na ushei kumbe kapangishiwa.
 
Tangu malkia wa instagram East Africa Mange Kimambi arejee ,Wema kawa mdogo kama piriton ,anaogopa hata kupost
 
Keshabakia tindi for now the fame is over kiki nazo zinakataa...hana hata nyumba dooo!!!
 
Umenena Mkuu
Wengi wanababaika na kizungu chake lakini IQ capacity yake ni very low
Huwezi mtu ukayumbishwa kama piya bila kujielewa
Kwa ufupi hajitambui
Ataishia kuwa chakuraaaaa ya nanihinoo
Wa kushangaa ni mtu anayemwamini bongo muvi wema
 
Nimecheka sana kwa ukweli wako mchungu ambao najua wapo wenye uchambuzi mkubwa watakubaliana nawe 100% na wale wakina jingalao hawatakuelewa.
Kwamba TOFAUTI YA MAKONDA NA WEMA KAMA IPO NI NDOGO SANA. (kwa nyongeza yangu tofauti hiyo yaweza kuwa jinsia tuu)
Duhhhhhh,noma sana!
 
Nlikua nampenda wema bt kwanzia ahame chadema amenitoka kabsa namuona hana msimamo ni mnafki kipnd yuko chadema alikua anajifanya kumchukia magu mara uchumi umedorora cjui nin sasaiv from no where kampenda ghafla
 
Kuna kitu watu hawajakisoma vyema ukiangalia macho ya Wema.
Wema ana tatizo la akili, au tuseme Wema ana kiwango cha chini sana cha IQ nadhani amejaliwa tuu makalio (kama haitakuwa kazi ya mchina). Huwezi kulinganisha kiwango cha IQ cha Wema hata na yule sijui wanamwita Ebitoke (anisamehe kama nimekosea jina lake) wa komedi.
WEMAAAAAAAAAA.jpg
AAAAH WAPI KALIO KAMA BOX HUYU BINT NI BOGAZ PLUS PLUSPLUS
 
Anasema alikuwa hamjui Bashite ila sasa kamjua na anampenda sana.

Nakuuliza wewe Wema umemjua Bashite kwa vile unataka ufutiwe kesi. Kwanini upoteze utu wako kwa tamaa ya pesa.

Mbona akina Lulu wako gerezani, mbona akina Winnie Mandela walifungwa. Unashindwa hata kushauriana na mzazi wako. Mpaka mama analalamika kwenye vyombo vya habari.

Wakati kesi ilipokuwa hot mama hakulala kwa ajili yako. Na alisema ulimwambia BASHITE anakutaka.

Nakukuuliza tena. Hivyo leo umekubaliana na BASHITE?? Wema washukuru CHADEMA kwani bila akina Lisu, Kibatara. Bashite angekufunga na leo hii usingekuwa unayaongea hayo.

Bashite alishindwa kukufunga baada ya magwiji wa sheria kuingilia kati kesi yako. Ndio maana ukawa nje hadi leo unamkumbatia BASHITE. Sikiliza haya maneno yako


Mkono mtupu haulambwi!
 
Ninachoona hapa hakuna hoja. Hii discussion iko biased kwa sababu ya maslahi ya Kisiasa.
Mwacheni aishi maisha yake anayopenda.
Wawawingiani kuku kwenye mavi usiyala?
 
Back
Top Bottom