Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Naweza sema ulijikosesha bahati mwenyewe mvumilivu hula mbivu baba. Mwanamke anahitaji nafasi ili afanye tendo sisi wanaume tunahitaji sehemu tuuu, tunamaliza mchezo. Hasira hasara ungevumilia ungekuwa mpaka sasa unajimegea tu! Mara zote mie huwa simba mwenda pole! Hapo hata bidada keshajua wewe si mvumilivu hata maisha ya kawaida utaleta shida. Wenzenu enzi za mwalimu tunatongoza mwaka. Unakuja likizo toka shule unakuta jirani yenu kuna demu mkali unatongoza mwezi mzima wa likizo hakieleweki unarudi shule. Mwezi wa sita likizo ukirudi tu unae tena hapa mnaanza kuelewana mnakaa napiga story kwa kuiba msikamatwe na wazazi, likizo inaisha. Mwezi wa kumi na mbili tena Christmas mzee inatafutwa chance unakula mzigo. Sasa wewe mzee masaa tu tena umeambiwa ukapumzike unakasirika? Duh
Toa darasa labda litaeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika

Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....


Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana

Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???

Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea



Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ufwala tafuta hela! Ukiwa nazo atakufuata yeye huko km 800! Tena akifika tu anakurukia kutaka mate na ukimfikisha kwako mle hadi asubuhi.

Tukirudi kwenye hii case yako. Huyo binti kakuona ni totauti na matarajio yake. Huenda umechoka kuliko ulivyokua unajidai kwenye simu na chats. So tafuta hela, hela ndo dawa ya matatizo yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sijaona unacholalama mwanamke hawezi kulala na wewe siku ya kuonana...mimi niliwahi kwenda tabora kutokea dar mwaka 2016 nilifika kule mwanamke anakanipokea akanijali sana ila usiku akasema nikalale lodge nikaenda ikawa siku ya kwanza siku ya pili ya tatu pesa ikaisha akassma tulale wote tukalal na hakuna kitu tulifanya zaidi ya kuishika suruali aliyolala nayo nilikaa wiki sikuambulia hata busu ila nilivyoondoka tukaendelea kuwasiliana nikazidi kuaminiwa zaidi binti akaja yeye tukasex rasmi za kutosha tukadumu miaka mi3 mapenzi yakafa msiwe na Haraka jamani mapenzi ni hisia so kuchat tupu hakuwezi kumjenga akupe mwili wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo bana. Mi nilikata wiki. Yupo kwangu anapika, anaosha vyombo, ananifunga vifungo vya shati na tai asubuhi naenda job. Narudi na zawadi tunafurahi wakati wa kulala anatupia jeans lake na makorokocho gani sijui. Basi tunakumbatiana mpaka kunakucha. Yalikuwa mateso sana; na baada ya wiki binti wa watu huyoo nikampeleka airport kurudi kwake. Sikuambulia kitu aiseee japo nilimtendea kila kitu kwa heshima na upendo sana. Kumbe ulikuwa ni mtihani!

Alipofika kwake ikapita kama wiki moja hivi nikaambiwa hebu angalia email yako. Kuangalia nikakuta tiketi ya ndege na meseji fupi tu: Tiketi hiyo. Njoo!

Muda ulipofika kweli nilikwenda bila kutegemea lolote lakini siku ile ile kutoka airport kidogo tushindwe hata kufika nyumbani. Binti alikuwa na mcheche mpaka analia eti hajaona mwanaume mvumilivu na aliyemheshimu kama miye. Wiki mbili nilikaa kwake na niliondoka nikiwa nimepungua uzito aisee; na mpaka leo huwa nakiri kuwa those were the best two weeks of my life [emoji16][emoji16][emoji16]

Tendo la ndoa kwa mwanamke mwenye malengo nawe na anayejiheshimu linataka hisia sana; na ni vyema kusubiri mpaka akiwa tayari.
 
Umeandika kweli tupu mie mtu wa malengo naye sipendi ku do naye na akivumilia nitamweshimu na kumpenda daima. Wanaume wanataka kupewa haraka huwa ni tamaa na wengine ukiwapa wanakimbia. So huwa tunapima uvumilivu pia
Haya mambo bana. Mi nilikata wiki. Yupo kwangu anapika, anaosha vyombo, ananifunga vifungo vya shati na tai asubuhi naenda job. Narudi na zawadi tunafurahi wakati wa kulala anatupia jeans lake na makorokocho gani sijui. Basi tunakumbatiana mpaka kunakucha. Yalikuwa mateso sana; na baada ya wiki binti wa watu huyoo nikampeleka airport kurudi kwake. Sikuambulia kitu aiseee japo nilimtendea kila kitu kwa heshima na upendo sana. Kumbe ulikuwa ni mtihani!

Alipofika kwake ikapita kama wiki moja hivi nikaambiwa hebu angalia email yako. Kuangalia nikakuta tiketi ya ndege na meseji fupi tu: Tiketi hiyo. Njoo!

Muda ulipofika kweli nilikwenda bila kutegemea lolote lakini siku ile ile kutoka airport kidogo tushindwe hata kufika nyumbani. Binti alikuwa na mcheche mpaka analia eti hajaona mwanaume mvumilivu na aliyemheshimu kama miye. Wiki mbili nilikaa kwake na niliondoka nikiwa nimepungua uzito aisee; na mpaka leo huwa nakiri kuwa those were the best two weeks of my life [emoji16][emoji16][emoji16]

Tendo la ndoa kwa mwanamke mwenye malengo nawe na anayejiheshimu linataka hisia sana; na ni vyema kusubiri mpaka akiwa tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho unikumbushe na mimi nilete mrejesho wa kile ulichonifanyia[emoji3525]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujue nimekuletea zawadi nyingi sana mrembo ajuza, kesho usitoke nyumbani nakuja tupige zogo kidogo.
 
Yaani kama ulikua kwenye akili yangu. Mimi niliweka gari ya nyumbani mafuta nikaenda sehem kama klm 23 kufata dem. Si mchezo akili yangu ilifanya kazi sana. Kwanza nikamwambia mimi napata muda wa kuja kuanzia saa kumi na moja jioni akasema sawa manake najua nikienda kuna umbali kuanzia ile saa 11 hadi kufika ni mwendo kidogo na muda utakua umesepa sana so itamuwea ngumu kunimbia nirudi.
Kufika akafungua geti nikaingiza gari ndani. Nikaingia ndani tukapiga stori sana ila nikawa najiuza kwanini muda unaenda na hapiki,? Itakuwaje au anajua naondoka? Baadae akaropoka kuna sehem ananipeleka kula samaki mkubwa nikasema yess manake kwenye stori za simu anasikia nikisema napenda samaki wakubwa.
Nikamuuliza kiutani kuwa nitamani anipikie akajibu atanipikia kesho mchana, hapo nikaanza kujipa nafasi ila akawa hataki kunikaribia kabisa kila nikimsogelea kumwonyesha kitu kwenye simu nimtege ananitema.
Akili ikawa inaniuma sana aisee, nikarusha tena mtego kwa kuwa nilikua sitaki kuwa bize na simu usiku ili kuepuka videm vingine visinichek nikamuuliza swali la mtego kuwa niache simu yangu kwenye chaji hapa home au tutabaki huko huko tukienda kula? Akajibu tunarudi kulala hatuwezi kulala huko. Sasa hapo mwanaume nikawa nawaza yale maneno, "TUNARUDI KULALA HATUWEZI KULALA HUKO" nikarudia tena kusema kichwani kwangu TUNA. Maana yake ni wingi yaani mimi na yeye tunarudi na vilevile nikajisemea angekua ananiwekea ngumu angesema ANARUDI sio TUNARUDI. Hapo nikajiwekea nafasi na point kadhaa.
Akili ingine ikaja kuwa naweza kuja kulala kwake asilale na mimi aidha alale chumbani na mimi nilale sebuleni au kinyume chake pia. Kuanzia pale nikawa naangalia udhaifu wa ile nyumba na ni nini anapenda, akawa hana tv na mziki na dem mwenyewe anapenda mziki balaa, nikajiropokea nikirudi kazini keshokutwa nakutumia tv na homethatre akafurahi sana. Kwa kufupisha tuu tulitoka kula na kunywa na tukarudi na nikapiga mzigo ila baada ya kutumia akili nyingi sana manake alikua anagoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulituma hiyo tv na home theater sasa?...au ilikuwa ni nguvu ya kichwa cha chini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo bana. Mi nilikata wiki. Yupo kwangu anapika, anaosha vyombo, ananifunga vifungo vya shati na tai asubuhi naenda job. Narudi na zawadi tunafurahi wakati wa kulala anatupia jeans lake na makorokocho gani sijui. Basi tunakumbatiana mpaka kunakucha. Yalikuwa mateso sana; na baada ya wiki binti wa watu huyoo nikampeleka airport kurudi kwake. Sikuambulia kitu aiseee japo nilimtendea kila kitu kwa heshima na upendo sana. Kumbe ulikuwa ni mtihani!

Alipofika kwake ikapita kama wiki moja hivi nikaambiwa hebu angalia email yako. Kuangalia nikakuta tiketi ya ndege na meseji fupi tu: Tiketi hiyo. Njoo!

Muda ulipofika kweli nilikwenda bila kutegemea lolote lakini siku ile ile kutoka airport kidogo tushindwe hata kufika nyumbani. Binti alikuwa na mcheche mpaka analia eti hajaona mwanaume mvumilivu na aliyemheshimu kama miye. Wiki mbili nilikaa kwake na niliondoka nikiwa nimepungua uzito aisee; na mpaka leo huwa nakiri kuwa those were the best two weeks of my life [emoji16][emoji16][emoji16]

Tendo la ndoa kwa mwanamke mwenye malengo nawe na anayejiheshimu linataka hisia sana; na ni vyema kusubiri mpaka akiwa tayari.
Ulimuoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hii stori ni ya kweli...basi kuna baadhi ya wanaume ni wa ajabu sanaa[emoji15]...mpaka unaandaliwa msosi hutoi hata mia?

Ndo maana demu akamkimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli eti mpaka aombwe hafu ukimuendekeza ndo inakuwa tabia yake. Mimi Kuna mmoja nilimwacha aisee aku do na nauli hakupi aisee nikasema akafie mbele huko. Sasa huyo kaandaliwa na msosi hajiongezi hafu Ana nuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo bana. Mi nilikata wiki. Yupo kwangu anapika, anaosha vyombo, ananifunga vifungo vya shati na tai asubuhi naenda job. Narudi na zawadi tunafurahi wakati wa kulala anatupia jeans lake na makorokocho gani sijui. Basi tunakumbatiana mpaka kunakucha. Yalikuwa mateso sana; na baada ya wiki binti wa watu huyoo nikampeleka airport kurudi kwake. Sikuambulia kitu aiseee japo nilimtendea kila kitu kwa heshima na upendo sana. Kumbe ulikuwa ni mtihani!

Alipofika kwake ikapita kama wiki moja hivi nikaambiwa hebu angalia email yako. Kuangalia nikakuta tiketi ya ndege na meseji fupi tu: Tiketi hiyo. Njoo!

Muda ulipofika kweli nilikwenda bila kutegemea lolote lakini siku ile ile kutoka airport kidogo tushindwe hata kufika nyumbani. Binti alikuwa na mcheche mpaka analia eti hajaona mwanaume mvumilivu na aliyemheshimu kama miye. Wiki mbili nilikaa kwake na niliondoka nikiwa nimepungua uzito aisee; na mpaka leo huwa nakiri kuwa those were the best two weeks of my life [emoji16][emoji16][emoji16]

Tendo la ndoa kwa mwanamke mwenye malengo nawe na anayejiheshimu linataka hisia sana; na ni vyema kusubiri mpaka akiwa tayari.
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo bana. Mi nilikata wiki. Yupo kwangu anapika, anaosha vyombo, ananifunga vifungo vya shati na tai asubuhi naenda job. Narudi na zawadi tunafurahi wakati wa kulala anatupia jeans lake na makorokocho gani sijui. Basi tunakumbatiana mpaka kunakucha. Yalikuwa mateso sana; na baada ya wiki binti wa watu huyoo nikampeleka airport kurudi kwake. Sikuambulia kitu aiseee japo nilimtendea kila kitu kwa heshima na upendo sana. Kumbe ulikuwa ni mtihani!

Alipofika kwake ikapita kama wiki moja hivi nikaambiwa hebu angalia email yako. Kuangalia nikakuta tiketi ya ndege na meseji fupi tu: Tiketi hiyo. Njoo!

Muda ulipofika kweli nilikwenda bila kutegemea lolote lakini siku ile ile kutoka airport kidogo tushindwe hata kufika nyumbani. Binti alikuwa na mcheche mpaka analia eti hajaona mwanaume mvumilivu na aliyemheshimu kama miye. Wiki mbili nilikaa kwake na niliondoka nikiwa nimepungua uzito aisee; na mpaka leo huwa nakiri kuwa those were the best two weeks of my life [emoji16][emoji16][emoji16]

Tendo la ndoa kwa mwanamke mwenye malengo nawe na anayejiheshimu linataka hisia sana; na ni vyema kusubiri mpaka akiwa tayari.
Wahenga walivyosema mvumilivu hula mbivu hawakukosea.

Naendelea hapo chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom