naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Toa darasa labda litaelewekaNaweza sema ulijikosesha bahati mwenyewe mvumilivu hula mbivu baba. Mwanamke anahitaji nafasi ili afanye tendo sisi wanaume tunahitaji sehemu tuuu, tunamaliza mchezo. Hasira hasara ungevumilia ungekuwa mpaka sasa unajimegea tu! Mara zote mie huwa simba mwenda pole! Hapo hata bidada keshajua wewe si mvumilivu hata maisha ya kawaida utaleta shida. Wenzenu enzi za mwalimu tunatongoza mwaka. Unakuja likizo toka shule unakuta jirani yenu kuna demu mkali unatongoza mwezi mzima wa likizo hakieleweki unarudi shule. Mwezi wa sita likizo ukirudi tu unae tena hapa mnaanza kuelewana mnakaa napiga story kwa kuiba msikamatwe na wazazi, likizo inaisha. Mwezi wa kumi na mbili tena Christmas mzee inatafutwa chance unakula mzigo. Sasa wewe mzee masaa tu tena umeambiwa ukapumzike unakasirika? Duh
Sent using Jamii Forums mobile app