Alichonijibu huyu tapeli wa mtandao kimenifanya nitafakari mno juu ya Taifa langu Tanzania

Siku moja afisa wa PCCB Lindi aliniambia kuwa ashatoa rushwa kwa afisa wa HQ apate uhamisho. Kweli akahamishiwa Dar
Yaani hata wakiwa wanchunguza kesi ya rushwa wanomba rushwa tena.Ndiyo maana watoa taarifa wameamua kukaa kimya. sababu ukitaarifu watachukua rushwa halafu watakutaja kwa uliyemreport
 
Juzi tu nilipigiwa na tapeli mmoja na akajitambulisha kuwa ni mtoa huduma kutota Vodacom. Na mm nikavutiwa kuona jinsi gani anaongea kwa ujasiri kiasi kile. Ikabidi nimpe muda ajieleze tu vizuri na nikamuuliza lengo lake hadi kunipigia simu ni lipi?(namba yake ilikuwa ya tigo ...47).

Tapeli si akaanza kuniambia nimesitishiwa huduma ya M-PESA kwenye line yangu, na mimi nikamuuliza kwahvyo unanisaidiaje?

TAPELI: ili kufunguwa line yako iweze kuruhisiwa unatakiwa kupiga*33*0000# na kuiruhusu alafu unisomee ujumbe nikupe muongozo....

alipo niambia hivyo tu!! nikawa nimezifahamu hizo code na nikajuwa hapa ni kuifungia line isiweze kufanya mawasiliano ya aina yoyote. Na mm nikamwambia tayari na nikamsomea ujumbe kama alivyo tegemea. Baada ya hapo nikamuuliza, "Hivi una uhakika na unachokitafta?". Jamaa likaingia mitini kama utani nikaandika ujumbe mfupi na nikamtumia kupitia ile namba aliyokuwa amenipigia.

Ilikuwa ni asubuhi, ile jioni tapeli akanipigia simu. Tuliongea mazungumzo ya kawaida tu ila lengo alilokuja nalo nikutaka ushirikiano wangu tupige kazi wote..🤣🤣
Ndio nikagunduwa kumbe hawa matapeli ni njaa ndio inawasukuma kufanya huu ujinga ila wengi wao hukurupuka bila kukaa chini na kuja na plani.(kwa mfumo huu serikali inatakiwa kuwachukulia hatuwa bila huruma).
 
...Na kweli ! Kesi zao Huwa hatuzikii...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…