Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #81
Sio chura tuuu Hadi konokonoVp mkeo ana chura? [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chura tuuu Hadi konokonoVp mkeo ana chura? [emoji848]
sawaAsalaam,
Bila kupoteza mda, mimi na mke wangu tuna miaka kadhaa kwenye ndoa ila alhmdulillah ndoa imejaa mazuri meeeengi.
ila ya leo kiboko... Tulipishana mida ya kuingia kazni yy aliingia usiku mm mchana tukakutana usiku mwingi asubuhi niliwahi ibadani mapema saana kushughulikia mambo flani bahati mbaya hatukua tumeandaa nguo kanisani mapema, sasa ghafla namuona mke wangu na watoto wamependeza wakija maeneo ya church.
nikamuuliza vip kuhusu mimi je uliniandalia nguo akaniambia hapana, basi sikujali baadae nikaenda home kubadili nguo ili nivae nguo rasmi..... Kufika home Daah nakuta bonge la suprise chumbani yaani nimenunuliwa bonge la boxer kali alafu nikaandikiwa maaneno mataamu kwenye kikaratasi...😍💖💝💘 "Natama ningepost namna boxer ilivyo na maneno aliyo yaandika...... "
Jambo hili limeamsha hisia kali saana na usiku huu ni kutikisa nyavu tuuu magoli nampigisha ya kimataifa.
"Mapenz ubunifu, mapenzi matamu ndoa tamu" Samahani kwa usumbufu
Sorry kwakuwakwaza kwa starehe zangu