Alichosema Anthony Diallo kinasemwa na Watanzania wengi chinichini

Kwamba anaomba Radhi alieleweka vibaya ndio ilikuwa kauli yake ya mwisho
 
Umenikumbusha kiongozi kijana anakwambia usipokubali ongezeko la tozo hamia Burundi
Ni wale ambao hawakustahili kupewa dhamani ya kuwaongozo wananchi,, huwezi kuniambia eti kama hamtaki hamia Burundi,, ni upumbavu wa hali juu kama kiongozi hupaswi kuongea maneno kama hayo kwa wananchi wako,, inatakiwa uwape njia mbadala au lugha tamu na laini bila kusahau kuwaelimisha
 
Sera nying hapa Tanzania hazifanikiwa kwasababu siyo shirikishi halafu hazina muongozo maalumu zingine hutumia sheria za zamani 'established without guiding principles and participation'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…