Alichosema DC Longido kimekaa kimkakati, amezima mjadala wa KM NCHIMBI kukimbia mdahalo..wapinzani endeleeni kuchezeshwa ngoma

Alichosema DC Longido kimekaa kimkakati, amezima mjadala wa KM NCHIMBI kukimbia mdahalo..wapinzani endeleeni kuchezeshwa ngoma

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Viongozi wa upinzani nchini wamekuwa wanafiki sana. DC Longido amewaeleza madiwani kwamba kama siyo serikali wasingepita bila kupingwa. Huu ndio ukweli na hakuna asiyejua. Lakini maneno haya wanataka kuyachukulia kama vile DC ana kiburi na ubabe wakati ukweli haya ndiyo maneno wamekuwa wanayasema jukwaani kila siku.

DC amewaeleza madiwani kwamba uchaguzi ujao hautakuwa wakupita bila kupingwa na amewataka wachape kazi.

Amesema wao kama chama tawala wamepita kila kijiji kukusanya taarifa za hali ilivyo; je vyama vya upinzani wanashindwa nini kupita kila kijiji kama wenzao.

Siasa siyo mchezo wakioneana huruma bali ni mchezo wakushawishi. Lisu hata siku moja hajawahi kupongeza tumbua tambua inayofanywa kwa sababu anafahamu wanaotumbuliwa ni wana mkakati wa CCM na bado wataendelea kutumika.

Kutumbuliwa kwa nape na makamba kumewanufaishaje chadema na wapinzani? Tuache siasa za kushabikia michezo ya CCM turudi kuandaa wapiga kura.

Maneno ya DC yamewahi kuzungumzwa na watu wengi na CCM ikiona kelele zimekuwa nyingi wanajipangia kazi nyingine.....wakiwapangia wati wao kazi nyingine wapinzani mnashangilia katumbuliwa.

Acheni kulaghaiwa na agenda za ccm, hii kauli ya DC imekuja kuzima mjadala wa Katibu Mkuu kukwepa mdahalo.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
 
Kwahiyo unataka watu wachapwe viboko? Yaani mwananchi anaepiga kura aneyasikia kama asipoyafanyia kazi kutokana na akili yake fupi ata akiambiwa na Lissu mara 100 hawezi kuelewa.
Hivi nchi zingine wanasiasa hawatumii nguvu sana kulazimisha wananchi bali shida ya wananchi ndiyo inayowaamsha.
Kivu huko Congo DRC kuna wananchi wameamua kuchukua silahaa kujilinda.
DC amesa wewe na Familia yako chukueni hatua.
 
Duuuuu—— inatisha—- kwa maneno mengine fate yako hapa duniani ipo decided na CCM hata uwe hodari kiasi gani! Merit less!!
Chanzo halisi ni muunganiko wa chama na vyombo vya dola/ulinzi/usalama. Huu muunganiko ukivunjika ndio hizi shida zitakwisha.
 
Unapiga na kujipaka mafuta unavaa nguo mzuri ama mpya unaenda kujipanga eti upige kura Wakati daily mnaambiwa kura mpige au msipige mahindi anatoka wapi mnajua.

Kwanini usumbuke Hivi je huna kazi za kufanya?

Nape kasema hadharani Tena sio mara Moja DC nae kasema hadharani asa wapinzani mnatushawishi tukapige kura Kwa Hali hii?
 
Back
Top Bottom