Hyo picha mbayaa..kacheka huku kama anaumia
AahaaaaKama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
Mwasibu umeanza......Sio wivu, ni common sense. Baleke hana cha kuonewa wivu na mimi
Labda mfe nyie...hahahahMh mtatuuwa mwaka huu
HahahampwaaaaKama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
Mimi na wewe dadaLabda mfe nyie...hahahah
Ila hii English iliyotumika hapa!🙆 Ras Simba alishapunguza ada ya tuition yake, Watopolo si mkahudhurie?
Mchezaji anakua halali baada ya kusaini mkataba na timu sio baada ya kutangazwa na timu.matangazo nikwaajili ya mashabiki sio mchezaji.Kuna mchezaji timu fulani walimpost kwenye mtandao kumbe timu yake hawajamalizana matokeo yake akarufi alikotoka.Kama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
Mwasibu ukiamua kufoka unafoka kweli.Sio wivu, ni common sense. Baleke hana cha kuonewa wivu na mimi
Andika basi hoja sababu ya kuniquote badala ya kunifanya kama shogaako