MwaFricamweuSiTii
Senior Member
- Feb 20, 2018
- 125
- 121
"Nimewahi kuomba ushauri hapa JF kuusu wake zangu wawili kama mtakumbuka umri nilishataja nilipata ushauri mzuri wengine walizingua mana huwa hawakosekani katika jamii ni kawaida sana kuwapo watu hawa ...
" Kama maneno yalivyo hapo juu natafuta mtu ambae ataridhia mwenyewe bila kuhusisha msukumo wowote kutoka kwa mtu mwingine ...
" Ajifikirie mwenyewe ajirizishe vyakutosha ndipo afanye maamuzi sahihi , Kuusu mambo muhimu na ya msingi kama mke atayapata bila matatizo insha Allah ...
" Alie tayari aje kule kule tunapo weza kuyajenga kwa upana bila wengi kujua hata kama unarafiki yako unae mjua yuko sawa wewe mlete vigezo ni mimi nayeye tutajadili hakuna sababu ya kuweka hapa ... ( Nazungumzia mke wa tatu ) ieleweke vizuri sana asije baadae akaleta michango ya kifedhuli
Rejea: Nachelewa kufika kileleni ninapokuwa na mmoja kati ya wake zangu
" Kama maneno yalivyo hapo juu natafuta mtu ambae ataridhia mwenyewe bila kuhusisha msukumo wowote kutoka kwa mtu mwingine ...
" Ajifikirie mwenyewe ajirizishe vyakutosha ndipo afanye maamuzi sahihi , Kuusu mambo muhimu na ya msingi kama mke atayapata bila matatizo insha Allah ...
" Alie tayari aje kule kule tunapo weza kuyajenga kwa upana bila wengi kujua hata kama unarafiki yako unae mjua yuko sawa wewe mlete vigezo ni mimi nayeye tutajadili hakuna sababu ya kuweka hapa ... ( Nazungumzia mke wa tatu ) ieleweke vizuri sana asije baadae akaleta michango ya kifedhuli
Rejea: Nachelewa kufika kileleni ninapokuwa na mmoja kati ya wake zangu