Alieelewa sababu za penati ya Atletico Madrid kukaliwa anieleweshe

Alieelewa sababu za penati ya Atletico Madrid kukaliwa anieleweshe

Wanadai aligusa mpira mara 2,swali langu je ni kweli ule mpira alifanya double kicking?
Kila nikitizama ni kaugusa mara 1.. Labda kesho nitizame kwenye mwangaza, saa hizi macho ya kizee hayaoni vizuri.
 
Wanadai aligusa mpira mara 2,swali langu je ni kweli ule mpira alifanya double kicking?
Kila nikitizama ni kaugusa mara 1.. Labda kesho nitizame kwenye mwangaza, saa hizi macho ya kizee hayaoni vizuri.
Kabla hajapiga mpira aliugusa kwanza kwa mguu wa kushoto then akashuti,na kanuni inasema ikitokea hivyo penalty inakuwa cancelled na hairudiwi tena.
 
Wanadai aligusa mpira mara 2,swali langu je ni kweli ule mpira alifanya double kicking?
Kila nikitizama ni kaugusa mara 1.. Labda kesho nitizame kwenye mwangaza, saa hizi macho ya kizee hayaoni vizuri.
So far hakuna video inayosuport hilo. Unless Uefa waitoe, ni controversial decision, hasa pale sheria inampa mwamuzi kurudia penalty.

Labda Kesho Uefa watatoa video kwenye angle nzuri
 
So far hakuna video inayosuport hilo. Unless Uefa waitoe, ni controversial decision, hasa pale sheria inampa mwamuzi kurudia penalty.

Labda Kesho Uefa watatoa video kwenye angle nzuri

Double-kick hairudiwi.

Aligusa na mguu wa kushoto kwanza barely. ATM wamejichanganya wenyewe walimwaga maji mengi sana kwenye pitch.
 
Wanadai aligusa mpira mara 2,swali langu je ni kweli ule mpira alifanya double kicking?
Kila nikitizama ni kaugusa mara 1.. Labda kesho nitizame kwenye mwangaza, saa hizi macho ya kizee hayaoni vizuri.
Natafut hizi penatly sioni
 
So far hakuna video inayosuport hilo. Unless Uefa waitoe, ni controversial decision, hasa pale sheria inampa mwamuzi kurudia penalty.

Labda Kesho Uefa watatoa video kwenye angle nzuri
Acha kujifanya mjuaji,nenda page ya Supersport utaona,
Ukishindwa kuona na apo nenda kanywe kile kinywaji cha double kiki utaona vizuri ilo wenge litoke.
 
Double-kick hairudiwi.

Aligusa na mguu wa kushoto kwanza barely. ATM wamejichanganya wenyewe walimwaga maji mengi sana kwenye pitch.
Acha kujifanya mjuaji,nenda page ya Supersport utaona,
Ukishindwa kuona na apo nenda kanywe kile kinywaji cha double kiki utaona vizuri ilo wenge litoke.
Nyie mnaojua wekeni hio video iliyo clear. Weka link ya supersport inayoonesha.
 

Attachments

  • IMG_0302.jpeg
    IMG_0302.jpeg
    922 KB · Views: 1
Nilipe nisepe hio picha ulioiweka na video yake vyote nimeviona, haioneshi chochote conclusive.

Usisahau VAR inatakiwa kuingilia pale tu kunapokua na Clear and Obvious Error,

Video ya kwanza ikionesha kwa mbele


Video Ya pili kwa Nyuma


Video zote hakuna Clear and Obvious Error hapo. Kama kuna video inayoonesha Uefa waitoe, so ni controversial decision.
 
Nilipe nisepe hio picha ulioiweka na video yake vyote nimeviona, haioneshi chochote conclusive.

Usisahau VAR inatakiwa kuingilia pale tu kunapokua na Clear and Obvious Error,

Video ya kwanza ikionesha kwa mbele
View attachment 3268507

Video Ya pili kwa Nyuma
View attachment 3268508

Video zote hakuna Clear and Obvious Error hapo. Kama kuna video inayoonesha Uefa waitoe, so ni controversial decision.
Ivi mkuu wewe ni mtu wa Kigoma??maana hao ndo wanaweza kubisha ata wakakuambia Raisi wa Tanzania bado ni Nyerere,.
Ivi apo unashindwa kuona aligusa na mguu wa kushoto adi mpira ukanyanguka juu kidogo??
 
Ivi mkuu wewe ni mtu wa Kigoma??maana hao ndo wanaweza kubisha ata wakakuambia Raisi wa Tanzania bado ni Nyerere,.
Ivi apo unashindwa kuona aligusa na mguu wa kushoto adi mpira ukanyanguka juu kidogo??
Haionekan vizuri bana, usitake unachoona wewe watu wote waone hivyo. Ingekua inaonekana vizuri huu mjadala usingekuwepo ndio maana watu wengi mitandaoni wanasema atletico kaonewa. Pangekua na clear picture/video wote baada ya mechi wangekubali ukweli. Mimi pia sioni hapo kama kaugusa au hajaugusa Bado hio picha au video za mdau hazionyeshi vizuri.
 
Haionekan vizuri bana, usitake unachoona wewe watu wote waone hivyo. Ingekua inaonekana vizuri huu mjadala usingekuwepo ndio maana watu wengi mitandaoni wanasema atletico kaonewa. Pangekua na clear picture/video wote baada ya mechi wangekubali ukweli. Mimi pia sioni hapo kama kaugusa au hajaugusa Bado hio picha au video za mdau hazionyeshi vizuri.
Na VAR hairuhusiwi kuingilia kama hakuna Clear and Obvious Error.

For the sake of discussion assume ni kweli Alvarez kaugusa na miguu yote miwili hakuna ushahidi ambao upo clear, ilitakiwa decision ya uwanjani iendelee na VAR Isiingilie.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom