Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hujawahi unda teknolojia ya 5g na umeziona 3g, 4g zikifanya kazi vzr. Kwanini wao sio mimi na wewe?Hakuna hiyo, mbona sijawahi kuviona kwa miaka yangu 45 niliyoishi hapa duniani. We ushawahi kuwaona? Kwanini wao na sio mimi na wewe?
Ajabu ni kwamba wana Mayai ndani ya miwili yao.Hawana mzima hii wanadau ni archeological finding, miaka 1000 iliyopita ndio vilikuwa hai, vjmekutwa mapango ya peru mwaka 2017. Wamecheki DNA na kuona kuna utafauti mkubwa na ya binadamu
Sawa na tembo kusema chura nitishio anywapo maji wakati mkongo wake tuu, unatosha kunfukuza chura.Kama kweli Marekani anamiliki hawa viumbe basi hoja ya kusema mkutano wa Putin na Kiduku ni tishio kwa Marekani itakuwa ni hoja ya kijinga
Akitoka mtu akasema hakuna Nchi inaitwa Niue kwasababu hajawai iona nae tukubaliane nae?Hakuna hiyo, mbona sijawahi kuviona kwa miaka yangu 45 niliyoishi hapa duniani. We ushawahi kuwaona? Kwanini wao na sio mimi na wewe?
Ajabu ni kwamba wana Mayai ndani ya miwili yao.
Ni mpuuzi pekee ndiye anaweza kataa uwepo wa UFO.
Jaime Maussan anasema"Whether they are aliens or not, we don't know, but they were intelligent and they lived with us. They should rewrite history.'
'We are not alone in this vast universe, we should embrace this reality,' he said at the event. ".
Hawa viumbe waliwaikuwepo na wapo hadi leo.
Hapa duniani kuwewai Kalika na allies aina zaidi ya 15 baada ya kupigana vita kubwa ya nyuklia wengine(asilimia kubwa) waliodoka kwenda sayari zingine ila baadhi hadi leo wapo hapa duniani.
Ni feki newsIt geting crazy
View attachment 2748152
Kwa mara ya kwanza kinachosemekana ni ALIEN ameonyeahwa kwa kamati ya bunge huko nchini Mexico. Am so excited, what a time, hapa bado mu USA aka baba lao aje na yeye kusema vyakee.
Nawe hopeless kabisa? Teknolojia ya 3 au 4G ni kiumbe? Pumbavu kabisa.Kwanini hujawahi unda teknolojia ya 5g na umeziona 3g, 4g zikifanya kazi vzr. Kwanini wao sio mimi na wewe?
Mzee nchi ni tofauti na kiumbe. Kwanini kiumbe kionekana America na sio sehemu nyingine za dunia? Hizi ni abracadabra tu.Akitoka mtu akasema hakuna Nchi inaitwa Niue kwasababu hajawai iona nae tukubaliane nae?
Hydrigen atom ni blah blah mkuu. Sio kiumbe hai kinachosaidia na kuonekana kwa macho ya kibinadamu.Hapana sijawahi kuviona, kwani wewe wewe ushawahi ona hydrogen atom.
Kumbe ww unachoshindana nao ni kuwaona viumbe tu? Nilidhani ni open challange. Haya, kwanini sio wewe? HahahahaNawe hopeless kabisa? Teknolojia ya 3 au 4G ni kiumbe? Pumbavu kabisa.
Hilo bunge wali fake hiyo issue nzima.. Kwakuwa issue ni hiyo miziga kama ni bandia kila kinachoihusu kinakuwa bandiaSio fake news, labda izo corpse ni fake
Ngoja tuone Ikifanyika independent investigation nin kitatokeaHilo bunge wali fake hiyo issue nzima.. Kwakuwa issue ni hiyo miziga kama ni bandia kila kinachoihusu kinakuwa bandia
Sent using Jamii Forums mobile app