Ok sawaN
Ngoja tuone Ikifanyika independent investigation nin kitatokea
MAREKANI hawezi kumiliki ALIENS , isipokuwa the REVERSE ndiyo inaweza kuwa ni true. Usicheze na ALIENS!Kama kweli Marekani anamiliki hawa viumbe basi hoja ya kusema mkutano wa Putin na Kiduku ni tishio kwa Marekani itakuwa ni hoja ya kijinga
Kwanza kuna taarifa kuwa huyo sio Allien ni keki tuMAREKANI hawezi kumiliki ALIENS , isipokuwa the REVERSE ndiyo inaweza kuwa ni true. Usicheze na ALIENS!
Tunaaminije??It geting crazy
View attachment 2748152
Kwa mara ya kwanza kinachosemekana ni ALIEN ameonyeahwa kwa kamati ya bunge huko nchini Mexico. Am so excited, what a time, hapa bado mu USA aka baba lao aje na yeye kusema vyakee.