mwibamwiba
Senior Member
- May 22, 2015
- 150
- 38
Dalili Kubwa ya matatizo ya akili ni kusikia sauti zisizoeleweka ingawa ukweli ni kuwa wengine husikia sauti zilizo katika mpangilio maalumu na zilizo hai/current(yaani mtu akikupigisha story na anakuwa anajua siri zako zote tangu utotoni mwako na marafiki wako wote na kila kitu), kifupi mtu anaongea ndani ya nafsi yako(Mungu) na kupitia waliopata matatizo haya nitakudhibitishia kuwa Mungu anaweza kukuonesha raha na karaha zote na kuzitoa akikata huku akikupa maelezo.
Pia dalili nyingine ambayo wataalamu waliiona ni kuota ndoto zenye maono.Sasa hapa utagundua kuwa kwanini wataalamu wengi wa ugonjwa huu huulizia sana juu ya kusikia sauti ingawa kwa wakati huo huwezi kumuelezea maana sauti ile inakuwa inakuuongoza namna ya kujibu na usipokuwa na busara unaweza kusema ni majini kumbe ni Muumba mwenyewe)na usipoifuata unawekewa hali mbaya kiasi ambacho dunia na kila kitu chake kinakuwa adui yani huwezi kutazama tv wala kusikia aina yoyote ya sauti,maana usikiapo unahisi hali mbaya kuliko,mfano wa ndoto za maono ni kama- kuota unapaa hewani na kuelea ni raha sana yani hutakuwa na swali juu ya uwepo wa malaika kwa ndoto hii,au kuota unaona duara yani mbele na yuma kwa wakati mmoja,hapo hutakuwa na shaka juu ya uwepo wa muumba au kumuona masia ktk ndoto na hata kuongea nae kwa lugha isiokuwapo duniani(na hapo ndio ninaamini kuwa bado kuna lugha nyingi binadamu hajapewa na zingine watu wanagundua mana watu waliopitia haya watakwambia waliweza kuongea au kufikirishwa lugha aidha kupewa uwezo wa kuongea lugha kinyume kwa kasi ya umeme ktk nafsi zao na wakaweza mfano kula yeye akalifikiri kwa haraka LAKU na akaelewa maana,sasa iwe ktk sentensi nyingi ndio mana nakwambia ni uwezo wa ajabu achilia mbali kuwa na lugha mpya kabisa ambayo mtu anaweza kuianzisha))). akiwa katika umbo kubwa la kama tani kadhaa(kwa uzito na ukubwa)linalong'aa na uzuri ambao hakuna mwanaume au binadamu aliemzuri kushinda yeye,hapo ndio naweza kukwambia hata christina shushu kwa kuimba ule wimbo -hakuna mwanaume kama Yesu- Atakuwa anajua nilichoandika hapa yani walioota tunawajua. ,kusikia wimbo wa malaika ktk lugha yao na kuielewa ila ukiamka hutaikumbuka na kutembelea mbinguni((kuna watu wameshaoneshwa kuzimu na kuliona shimo lile kubwa liwakalo na kusikia sauti za watu wakiungua ni kama uwe juu mawinguni halafu mtu akuchungulishe duniani yani ndio liwe shimo je ukidumbukizwa utaweza kupanda juu tena?....Sasa liwe ktk moto-hapa ndio utaanza kuelewa kwanini watu utawakuta wapole na wanyenyekevu mana lazima ukiamka uwe umedata kidogo kwa hofu ya uwepo wa Mungu achilia mbali waliowahi kuoteshwa wanachomwa ktk ziwa hilo la moto na kuungua zaidi ya moto uuonao na kwa maelfu ya miaka ndani ya huo usiku mmoja huku wengine wakiwa ktk usingizi mzito ndio maana nakwambia kuna watu humuhumu duniani wameshatubishwa zambi zao na wakaanza moja baada ya kuchomwa ila ni ngumu kusema)hapa ndipo fumbo la imani lilipo maana hata akisema hakuna atakaemwamini ila sio mimi lakini kwa hili la kuchomwa.
Ndipo ninapoamini kuwa Roma wanajua nini maana ya nafsi tatu.Kupitia ugonjwa huu utamsikia Mungu moja kwa moja moyoni mwako akiongea ila kwa kutumia sauti ya mtu unaemjua AU yoyote yule(Usipokuwa makini ndio wale husema fulani mchawi maana hawakusoma nyakati za ufunuo wao ulikuja kupitia sauti ya mtu amjuae,hapo ndio utajua kuwa hata wanaoiga sauti za watu ni yeye amewapa uwezo huo mana wakati wa kuugua anaweza kukufikilisha ukaiga sauti yoyote ndani ya moyo wako au akakuongezea hali ukashindwa kujidhibiti na kuongea au kutukana chochote ingawa unakuwa na akili yako(SASA HAPA NAPO PA KUONGEA LOLOTE KUNA FUMBO KUBWA PIA MAANA SEHEMU KUBWA HUWA WANAONGEA BUSARA NA INAKUWA KAMA KITU KIMEUNGANISHWA AUTOMATIC MANA UTAGUSA SEHEMU KUBWA YA MAISHA YA WATU NA UKWELI NDIO SABABU WENGI UHUSISHWA NA MAAFISA WA SERIKALI KUMBE LAH!! MAANA KAZI HUWA KUBWA KUWAELIMISHA WATU,SASA KWANINI USIAMINI MUNGU ANAWEZA KUKUFIKISHIA UJUMBE KUPITIA MTU KAMA WEWE,NA WAKATI HUO KWANINI USIAMINI MALAIKA HUWA NI SISI BINAMU FOR A CERTAIN TME??JE,UNDHANI USA KUWEKA ENEO AMBALO MTU ANAENDA KUTUKANA CHOCHOTE NA YEYOTE NI WAJINGA HUKU WAO WAKIRKODI MATUSI YOTE??).
Lakini hautakuwa na shaka juu Mungu kuwabariki baadhi ya watu kuwa na sauti zenye nguvu kubwa yani akisema kitu na watu wanasikia kwa mamilioni yani yeye anakuwa ameiunganisha kama vile unavyopiga mihayo.ndio maana kuna siri kubwa juu ya baadhi ya madawa yanayozuiwa duniani ila sijataja ni aina gani kama ni ya kienyeji au lah lengo ni kukuonesha kuwa mtu anapoyatumia sauti yake inakuwa na nguvu kubwa na yenye mvuto iwe ktk kuhutubia au ktk muziki ila yakizidi hugeuka madhara PIa ndio maana maandiko yakasema kuna watu raha yao imekwisha mana madawa hayo hutoa hali au namna ya kujisikia amani kubwa na furaha duniani,uchangamfu na kila aina ya hali(****hali***hapa ni zile mfano namna unapojihisi unapokuwa unaoa au kuolewa,kipindi upatapo habari nzuri ya kufaulu au bahati ya kwenda ng'ambo na hata hali ya kulia au usingizi-sasa watu hali hizo wanakuwa nazo mda wote sio mpaka usubiri miaka mitatu ya ku graduate au uposwe ingawa yana madhara).ndio maana nakupa siri hii,dhahabu na pesa ni mali ya bwana kama ilivyoandikwa ktk vitabu vitakatifu ikiwa na maana ni yeye anaeweza kuyeyusha pesa na dhahabu neither miracle nor chuma ulete na usizione wakati ulikuwa nazo mfukoni.ukipata hali hii jua Mungu yu nawe na ndio maana naamini Mungu aliwabariki baadhi ya mataifa kujua siri ya dhahabu na pesa na kuwanyima wengine hasa katika matumizi yake.hata uwe na billions of money unaweza kumrithisha zote paka au kiumbe chochote na watu wakashangaa maana yake ukifikilishwa huwa hakuna option ndio sababu utajili ukiwa mwingi inawalazimu watu kuwa joined ktk kuendesha akaunti kuepuka hili na kuwa na maelezo juu ya matumizi ya pesa.
fikilia juu ya wanaowika,hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuchanganya mwarobaini sijui na mti gani au mtulatula ili kumdhuru binadamu awe anawika ila yeye pekee,na juu ya waganga ni yeye ndio amewaweka ni suala la kuelekezwa hata kama utajua ni wasanii,akitaka utaenda tu.maana ameruhusu magonjwa,ameruhusu ajari na kila kitu ili mgawanyo wa kazi ufanyike,no demons who cause accidents only Him who created it.mana nakwambia kuna watu humuhumu duniani wameshuhudia maajabu yake ya kuzibwa kwa sekunde chache NURU yaani kuwa ktk upofu na kuondolewa uono hivyo hautauliza juu ya dereve kuzibwa na ajali kutokea au mtu fulani gafla kawa kipofu,no man can do that only Him,no man who can create accident but hutumika tu.(haya yote mtafute askofu tortoise atakwambia nipo sawa,maana yote anayajua hii ni baada ya kusoma maelezo yake au mahubiri yake.
Public figure wengi wanajua maono haya na cha ajabu ukishaokolewa na kujua siri nyingi za Muumba utajikuta unakibarua kigumu ili kuwaongoza wasiofunuliwa bado,ninamaanisha utakuwa mtu fulani ila inabidi useme uongo kulingana na sector uliopo ii watu waendelee kuishi nikiwa na maana kuwa Roma haikujengwa siku moja na ktk ujenzi wa Roma kuna jamii nyingi zinahistoria yake ktk kushiriki ujenzi huo na kuwa sehemu ya historia kwa vizazi vinavyokuja ktk jamii zao,so ukiwa na dhamana unaakuwa unaujua ukweli huu ila jamii inataka maji ya maziwa kwa kipindi kifupi so,unalazimika kudanganya mana hata ukiwapa siri hii namna dunia inavyoenda hawatakuelewa,au utakuta wengine walevi,Lakini public figure wengine wataishi maisha magumu ya usupa-tar au umaarufu ambayo ni magumu zaidi ya maisha aya mapadri ili mimi na wewe tuimalize siku bila stress kwa kusema msanii fula leo kafanya hivi na vile wakati mhusika akikosa faragha yake na akiishia ktk stress na mwisho kutopea ktk dawa sijasema aina ya dawa kama ni za kienyeji au la,mwisho kumbe anaifanya kazi ya Mungu bila kujijua na hatimae ni kama katolewa kafala ili watu ktk kizazi chao wajenge historia sawa na mfano wa ujenzi wa Roma.Siasa,Dini,Uongozi na Watu Maarufu ni viti visivyoachana vinategemeana daima.
Pia unaweza kuchekeshwa mpaka ukafa mana hakuna msanii mkuu kama yeye ktk story anazokuwa anakupigisha utacheka sana na hapo watu wasiojua watasema una matatizo ya akili kumbe wee unachekeshwa kwa kiwango cha juu sana(hivyo usishangae wanaokufa kwa kucheka hawakupenda).ndio sababu serikali kwakuwa wanajua siri hizi mtu akifanya tukio la kushangaza watampima kwanza kama anatatizo la akili wakijua kuwa huenda ni nguvu iliyondani yake imemwamulisha na sio vinginevyo(ukilijua hili hutakaa umpige mwizi wengine hupata hali ya kutojidhibiti kisha hudokoa),ila ujue kuwa mwenye matatizo ya akili huongozwa na Mungu mfano hai baba wa Taifa kwa kulijua hili akasema Anaeweza KUMDHULU LABDA MWEHU TU NA MUNGU MWENYEWE Akijua mtu yeyote awe wa karibu au la anaweza fikirishwa na kufanya jambo si kwa hiari yake ndo mana ofisi nyingi huanza kwa vikao a kucheleweshwa kwa huduma ila mwenye tatizo atajulikana mana anakuwa hana utulivu.ila kumbuka kupima matatizo ya akili c vipimo bali ni kumuangalia mtu anavyocheka au hana utulivu wa eneo moja kwa muda mrefu na kadhalika.na ndio maana taifa lenye nguvu ya kijeshi na kiuchumi-USA(ila lisilo na idadi kubwa ya watu duniani kama ilivyo China,Indonesia na india)ndilo linaloongoza kwa kuwa na idadi ya watu wengi wanaougua matatizo ya akili duniani(si chini ya milioni moja kwa mwaka)maana yake Mungu yupo nao ndo mana wanasema in God they trust including me,na ndio mana moja ya ndoto za maono ni kuoneshwa namna Vatican wanavyoishi malaika wasionekana kwa macho bali kupitia ndoto,na nafsi au sauti utayoisikia ni Mungu mwenyewe ndo mana Roma wanaamini katika nafsi tatu akiemo roho mtakatifu.maelezo haya ni hai na yametolewa na mtu alietimamu ingawa madaktari wanasema kila mtu duniai anasehemu ya matatizo yake ya akili mfano ulevi uliopitiliza,kupiga picha za utupu,kutukana na hata kupenda ngono sana.ndio maana Central Intelligence Agency wanaamini kila ktu duniani kinaweza kugeuka na kuwa adui mfano sauti ya mpira au milio ya pikipiki na hata ndege hasa mtu anapokuwa ktk hali hii,utasikia mtu katoka na silaha na kujeruhi watu waliokuwa ktk mpira je ya nyumba yake au waliopita wakiwa wanashangilia ,that is why Japan and some European countries hawapgipigi kelele ovyo kuepuka hayo.ila ushahidi upo baadhi ya wataalmu wakiziona dalili hubugia dawa kimyakiya na kuwaacha mamia wakiumia kwa matatizo haya kwa kukosa raha ya utulivu na kuona aibu kwenda klinic hivyo ingekuwa busara kampeni kabambe ianze ili watu waujue ni nini dalili zake japokuwa Mungu yumo ktk baadhi ya watu kuwaonesha uwezo wake,ujawahi kujiuliza dalili ya kuona vitu visivyoeleweka ni sehemu ya maajabu yake,
Pia dalili nyingine ambayo wataalamu waliiona ni kuota ndoto zenye maono.Sasa hapa utagundua kuwa kwanini wataalamu wengi wa ugonjwa huu huulizia sana juu ya kusikia sauti ingawa kwa wakati huo huwezi kumuelezea maana sauti ile inakuwa inakuuongoza namna ya kujibu na usipokuwa na busara unaweza kusema ni majini kumbe ni Muumba mwenyewe)na usipoifuata unawekewa hali mbaya kiasi ambacho dunia na kila kitu chake kinakuwa adui yani huwezi kutazama tv wala kusikia aina yoyote ya sauti,maana usikiapo unahisi hali mbaya kuliko,mfano wa ndoto za maono ni kama- kuota unapaa hewani na kuelea ni raha sana yani hutakuwa na swali juu ya uwepo wa malaika kwa ndoto hii,au kuota unaona duara yani mbele na yuma kwa wakati mmoja,hapo hutakuwa na shaka juu ya uwepo wa muumba au kumuona masia ktk ndoto na hata kuongea nae kwa lugha isiokuwapo duniani(na hapo ndio ninaamini kuwa bado kuna lugha nyingi binadamu hajapewa na zingine watu wanagundua mana watu waliopitia haya watakwambia waliweza kuongea au kufikirishwa lugha aidha kupewa uwezo wa kuongea lugha kinyume kwa kasi ya umeme ktk nafsi zao na wakaweza mfano kula yeye akalifikiri kwa haraka LAKU na akaelewa maana,sasa iwe ktk sentensi nyingi ndio mana nakwambia ni uwezo wa ajabu achilia mbali kuwa na lugha mpya kabisa ambayo mtu anaweza kuianzisha))). akiwa katika umbo kubwa la kama tani kadhaa(kwa uzito na ukubwa)linalong'aa na uzuri ambao hakuna mwanaume au binadamu aliemzuri kushinda yeye,hapo ndio naweza kukwambia hata christina shushu kwa kuimba ule wimbo -hakuna mwanaume kama Yesu- Atakuwa anajua nilichoandika hapa yani walioota tunawajua. ,kusikia wimbo wa malaika ktk lugha yao na kuielewa ila ukiamka hutaikumbuka na kutembelea mbinguni((kuna watu wameshaoneshwa kuzimu na kuliona shimo lile kubwa liwakalo na kusikia sauti za watu wakiungua ni kama uwe juu mawinguni halafu mtu akuchungulishe duniani yani ndio liwe shimo je ukidumbukizwa utaweza kupanda juu tena?....Sasa liwe ktk moto-hapa ndio utaanza kuelewa kwanini watu utawakuta wapole na wanyenyekevu mana lazima ukiamka uwe umedata kidogo kwa hofu ya uwepo wa Mungu achilia mbali waliowahi kuoteshwa wanachomwa ktk ziwa hilo la moto na kuungua zaidi ya moto uuonao na kwa maelfu ya miaka ndani ya huo usiku mmoja huku wengine wakiwa ktk usingizi mzito ndio maana nakwambia kuna watu humuhumu duniani wameshatubishwa zambi zao na wakaanza moja baada ya kuchomwa ila ni ngumu kusema)hapa ndipo fumbo la imani lilipo maana hata akisema hakuna atakaemwamini ila sio mimi lakini kwa hili la kuchomwa.
Ndipo ninapoamini kuwa Roma wanajua nini maana ya nafsi tatu.Kupitia ugonjwa huu utamsikia Mungu moja kwa moja moyoni mwako akiongea ila kwa kutumia sauti ya mtu unaemjua AU yoyote yule(Usipokuwa makini ndio wale husema fulani mchawi maana hawakusoma nyakati za ufunuo wao ulikuja kupitia sauti ya mtu amjuae,hapo ndio utajua kuwa hata wanaoiga sauti za watu ni yeye amewapa uwezo huo mana wakati wa kuugua anaweza kukufikilisha ukaiga sauti yoyote ndani ya moyo wako au akakuongezea hali ukashindwa kujidhibiti na kuongea au kutukana chochote ingawa unakuwa na akili yako(SASA HAPA NAPO PA KUONGEA LOLOTE KUNA FUMBO KUBWA PIA MAANA SEHEMU KUBWA HUWA WANAONGEA BUSARA NA INAKUWA KAMA KITU KIMEUNGANISHWA AUTOMATIC MANA UTAGUSA SEHEMU KUBWA YA MAISHA YA WATU NA UKWELI NDIO SABABU WENGI UHUSISHWA NA MAAFISA WA SERIKALI KUMBE LAH!! MAANA KAZI HUWA KUBWA KUWAELIMISHA WATU,SASA KWANINI USIAMINI MUNGU ANAWEZA KUKUFIKISHIA UJUMBE KUPITIA MTU KAMA WEWE,NA WAKATI HUO KWANINI USIAMINI MALAIKA HUWA NI SISI BINAMU FOR A CERTAIN TME??JE,UNDHANI USA KUWEKA ENEO AMBALO MTU ANAENDA KUTUKANA CHOCHOTE NA YEYOTE NI WAJINGA HUKU WAO WAKIRKODI MATUSI YOTE??).
Lakini hautakuwa na shaka juu Mungu kuwabariki baadhi ya watu kuwa na sauti zenye nguvu kubwa yani akisema kitu na watu wanasikia kwa mamilioni yani yeye anakuwa ameiunganisha kama vile unavyopiga mihayo.ndio maana kuna siri kubwa juu ya baadhi ya madawa yanayozuiwa duniani ila sijataja ni aina gani kama ni ya kienyeji au lah lengo ni kukuonesha kuwa mtu anapoyatumia sauti yake inakuwa na nguvu kubwa na yenye mvuto iwe ktk kuhutubia au ktk muziki ila yakizidi hugeuka madhara PIa ndio maana maandiko yakasema kuna watu raha yao imekwisha mana madawa hayo hutoa hali au namna ya kujisikia amani kubwa na furaha duniani,uchangamfu na kila aina ya hali(****hali***hapa ni zile mfano namna unapojihisi unapokuwa unaoa au kuolewa,kipindi upatapo habari nzuri ya kufaulu au bahati ya kwenda ng'ambo na hata hali ya kulia au usingizi-sasa watu hali hizo wanakuwa nazo mda wote sio mpaka usubiri miaka mitatu ya ku graduate au uposwe ingawa yana madhara).ndio maana nakupa siri hii,dhahabu na pesa ni mali ya bwana kama ilivyoandikwa ktk vitabu vitakatifu ikiwa na maana ni yeye anaeweza kuyeyusha pesa na dhahabu neither miracle nor chuma ulete na usizione wakati ulikuwa nazo mfukoni.ukipata hali hii jua Mungu yu nawe na ndio maana naamini Mungu aliwabariki baadhi ya mataifa kujua siri ya dhahabu na pesa na kuwanyima wengine hasa katika matumizi yake.hata uwe na billions of money unaweza kumrithisha zote paka au kiumbe chochote na watu wakashangaa maana yake ukifikilishwa huwa hakuna option ndio sababu utajili ukiwa mwingi inawalazimu watu kuwa joined ktk kuendesha akaunti kuepuka hili na kuwa na maelezo juu ya matumizi ya pesa.
fikilia juu ya wanaowika,hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuchanganya mwarobaini sijui na mti gani au mtulatula ili kumdhuru binadamu awe anawika ila yeye pekee,na juu ya waganga ni yeye ndio amewaweka ni suala la kuelekezwa hata kama utajua ni wasanii,akitaka utaenda tu.maana ameruhusu magonjwa,ameruhusu ajari na kila kitu ili mgawanyo wa kazi ufanyike,no demons who cause accidents only Him who created it.mana nakwambia kuna watu humuhumu duniani wameshuhudia maajabu yake ya kuzibwa kwa sekunde chache NURU yaani kuwa ktk upofu na kuondolewa uono hivyo hautauliza juu ya dereve kuzibwa na ajali kutokea au mtu fulani gafla kawa kipofu,no man can do that only Him,no man who can create accident but hutumika tu.(haya yote mtafute askofu tortoise atakwambia nipo sawa,maana yote anayajua hii ni baada ya kusoma maelezo yake au mahubiri yake.
Public figure wengi wanajua maono haya na cha ajabu ukishaokolewa na kujua siri nyingi za Muumba utajikuta unakibarua kigumu ili kuwaongoza wasiofunuliwa bado,ninamaanisha utakuwa mtu fulani ila inabidi useme uongo kulingana na sector uliopo ii watu waendelee kuishi nikiwa na maana kuwa Roma haikujengwa siku moja na ktk ujenzi wa Roma kuna jamii nyingi zinahistoria yake ktk kushiriki ujenzi huo na kuwa sehemu ya historia kwa vizazi vinavyokuja ktk jamii zao,so ukiwa na dhamana unaakuwa unaujua ukweli huu ila jamii inataka maji ya maziwa kwa kipindi kifupi so,unalazimika kudanganya mana hata ukiwapa siri hii namna dunia inavyoenda hawatakuelewa,au utakuta wengine walevi,Lakini public figure wengine wataishi maisha magumu ya usupa-tar au umaarufu ambayo ni magumu zaidi ya maisha aya mapadri ili mimi na wewe tuimalize siku bila stress kwa kusema msanii fula leo kafanya hivi na vile wakati mhusika akikosa faragha yake na akiishia ktk stress na mwisho kutopea ktk dawa sijasema aina ya dawa kama ni za kienyeji au la,mwisho kumbe anaifanya kazi ya Mungu bila kujijua na hatimae ni kama katolewa kafala ili watu ktk kizazi chao wajenge historia sawa na mfano wa ujenzi wa Roma.Siasa,Dini,Uongozi na Watu Maarufu ni viti visivyoachana vinategemeana daima.
Pia unaweza kuchekeshwa mpaka ukafa mana hakuna msanii mkuu kama yeye ktk story anazokuwa anakupigisha utacheka sana na hapo watu wasiojua watasema una matatizo ya akili kumbe wee unachekeshwa kwa kiwango cha juu sana(hivyo usishangae wanaokufa kwa kucheka hawakupenda).ndio sababu serikali kwakuwa wanajua siri hizi mtu akifanya tukio la kushangaza watampima kwanza kama anatatizo la akili wakijua kuwa huenda ni nguvu iliyondani yake imemwamulisha na sio vinginevyo(ukilijua hili hutakaa umpige mwizi wengine hupata hali ya kutojidhibiti kisha hudokoa),ila ujue kuwa mwenye matatizo ya akili huongozwa na Mungu mfano hai baba wa Taifa kwa kulijua hili akasema Anaeweza KUMDHULU LABDA MWEHU TU NA MUNGU MWENYEWE Akijua mtu yeyote awe wa karibu au la anaweza fikirishwa na kufanya jambo si kwa hiari yake ndo mana ofisi nyingi huanza kwa vikao a kucheleweshwa kwa huduma ila mwenye tatizo atajulikana mana anakuwa hana utulivu.ila kumbuka kupima matatizo ya akili c vipimo bali ni kumuangalia mtu anavyocheka au hana utulivu wa eneo moja kwa muda mrefu na kadhalika.na ndio maana taifa lenye nguvu ya kijeshi na kiuchumi-USA(ila lisilo na idadi kubwa ya watu duniani kama ilivyo China,Indonesia na india)ndilo linaloongoza kwa kuwa na idadi ya watu wengi wanaougua matatizo ya akili duniani(si chini ya milioni moja kwa mwaka)maana yake Mungu yupo nao ndo mana wanasema in God they trust including me,na ndio mana moja ya ndoto za maono ni kuoneshwa namna Vatican wanavyoishi malaika wasionekana kwa macho bali kupitia ndoto,na nafsi au sauti utayoisikia ni Mungu mwenyewe ndo mana Roma wanaamini katika nafsi tatu akiemo roho mtakatifu.maelezo haya ni hai na yametolewa na mtu alietimamu ingawa madaktari wanasema kila mtu duniai anasehemu ya matatizo yake ya akili mfano ulevi uliopitiliza,kupiga picha za utupu,kutukana na hata kupenda ngono sana.ndio maana Central Intelligence Agency wanaamini kila ktu duniani kinaweza kugeuka na kuwa adui mfano sauti ya mpira au milio ya pikipiki na hata ndege hasa mtu anapokuwa ktk hali hii,utasikia mtu katoka na silaha na kujeruhi watu waliokuwa ktk mpira je ya nyumba yake au waliopita wakiwa wanashangilia ,that is why Japan and some European countries hawapgipigi kelele ovyo kuepuka hayo.ila ushahidi upo baadhi ya wataalmu wakiziona dalili hubugia dawa kimyakiya na kuwaacha mamia wakiumia kwa matatizo haya kwa kukosa raha ya utulivu na kuona aibu kwenda klinic hivyo ingekuwa busara kampeni kabambe ianze ili watu waujue ni nini dalili zake japokuwa Mungu yumo ktk baadhi ya watu kuwaonesha uwezo wake,ujawahi kujiuliza dalili ya kuona vitu visivyoeleweka ni sehemu ya maajabu yake,