Aliewahi kuugua matatizo ya akili anamjua Mungu na siri zake zote, amini mfano hai huu

Aliewahi kuugua matatizo ya akili anamjua Mungu na siri zake zote, amini mfano hai huu

Aisee! Hizi illusion mnazomezeshana wafia dini bila ya kutafakari vizuri zitawapeleka pabaya. Hope mkitaka kuelewa tu nini maqna ya chizi hamtokua na hisia za kipuu.zi kama hizi.

Na jee mlishawahi kujiuliza kwanini machizi wa kiislamu wanafanya hayo mauchizi yao kwa kuaminisha Allah ndio kila kitu wakati machizi wa kigalatia ni bwana Yesu tu kwa kwenda mbele?
 
Aisee! Hizi illusion mnazomezeshana wafia dini bila ya kutafakari vizuri zitawapeleka pabaya. Hope mkitaka kuelewa tu nini maqna ya chizi hamtokua na hisia za kipuu.zi kama hizi.

Na jee mlishawahi kujiuliza kwanini machizi wa kiislamu wanafanya hayo mauchizi yao kwa kuaminisha Allah ndio kila kitu wakati machizi wa kigalatia ni bwana Yesu tu kwa kwenda mbele?

Bora bangi maana haitakuharibu akili kama dini mkuu!
 
Duh! Sijaelewa chochote ijapokua nimeisoma topic yote. Zaidi nimegundua jamaa kanisa limemuathiri kiasi cha kuaminishwa kua "CHIZI ANAONGEA NA MUNGU". Kwa hii yaleo, mwacheni Gwajima aendee kunufaika tu, sbb wajinga bado wanaendelea kuzaliwa tu hapa duniani.
 
ulaya wangenipa kitengo cha utafiti ila Africa watasema mgonjwa huyo ila wapo watu wanateseka na magonjwa bila kuyajua imefika wakati elimu na dalili zake watu waelezwe mana ile hali ya kutokuona raha tu ni sehemu ya tatizo ingawa Muumba huwa nyuma yake,

Vingi ulivyoviandika ni kweli tupu, sema watu humu hawatakuelewa milele ila binafsi nimeelewa sanaa
 
Hakuna cha ziwa la moto wala cha jehanam, hilo ni fundisho la kipagani.
 
Back
Top Bottom