Aliezaa na miaka 30 na kuendelea, msimuite single mother, hakutaka kukosa yote.

Aliezaa na miaka 30 na kuendelea, msimuite single mother, hakutaka kukosa yote.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Sasa mtu ukute amesoma, ila ajira hana, mume wa kumuoa hana, anafika miaka 30, window ya kupata kupata ujauzito inazidi kushuka, mnataka afanye nini?

Kuliko kukosa vyote anaamua japo apate faraja ya mtoto.

Msiwasakame sana hawa waliozaa kuanzia 30 na kuendela, wamejifanyia uokozi.

Sitetei uzinzi ila naelewa kwanini wanafanya hivyo.
 
Sasa mtu ukute amesoma, ila ajira hana, mume wa kumuoa hana, anafika miaka 30, window ya kupata kupata ujauzito inazidi kushuka, mnataka afanye nini?

Kuliko kukosa vyote anaamua japo apate faraja ya mtoto.

Msiwasakame sana hawa waliozaa kuanzia 30 na kuendela, wamejifanyia uokozi.

Sitetei uzinzi ila naelewa kwanini wanafanya hivyo.
Sasa tuwape jina gani?
 
Sasa mtu ukute amesoma, ila ajira hana, mume wa kumuoa hana, anafika miaka 30, window ya kupata kupata ujauzito inazidi kushuka, mnataka afanye nini?

Kuliko kukosa vyote anaamua japo apate faraja ya mtoto.

Msiwasakame sana hawa waliozaa kuanzia 30 na kuendela, wamejifanyia uokozi.

Sitetei uzinzi ila naelewa kwanini wanafanya hivyo.
Aisee kweli hili nalo likatazamwe.
Vijana wapewe hela ya mahari waoe bwana mwanamke anafika 30 hajaolewa wala kutiwa mimba
 
Wanastahili kusakamwa kwa sababu wakiwa na 20s walifanya makosa ya kuchagua chagua wanaume.
Msakamo uko pale pale 😀
 
Hapana, ni ubinafsi mkubwa kutaka kuzaa kwa manufaa yako binafsi na kumkosesha mtoto nafasi ya uwepo wa baba kwenye familia.
Watulie tu, ndoa hata 40 ipo na watoto mtu hujaliwa na Mungu
Feminism imewaamisha mwanamke hana haja ya mwanaume kwenye maisha yake.
 
Back
Top Bottom