DOKEZO Alihukumiwa Miaka 30 jela kwa ubakaji miezi mitano iliyopita, leo tupo naye mtaani, hili limekaaje?

DOKEZO Alihukumiwa Miaka 30 jela kwa ubakaji miezi mitano iliyopita, leo tupo naye mtaani, hili limekaaje?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!
Nenda huko mahakamani kahoji,Huenda alikata rufani,na rufani kama kashindwa hawaitwi Tena mashahidi,Hakimu au jaji hupitia maelezo ya pande mbili na kuyafangia mapitio na kuyatolea maamuzi.Hivyo Huenda jamaa alishinda huko mkuu.
 
Pole sana.
Subiri wanasheria watakuja kukupa mwongozo.
 
Mauaji, ualifu, uovu utaisha lini? Kwanini yanaongezeka? Je Dunia imeharibika/imezeeka?

Jibu ni huu Uzi/dokezo
 
Inawezekana alikata rufaa na pengine republic pia ilijichanganya sehemu flani.. basi akatoka.
Nb.
Kisheria mtu anaweza kuua Kila mtu anaona na Bado jezi akashinda akiwa na mwanasheria anayejua vichochoro
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!
shida ni mahakimu na waendesha mashtaka, kesi nyingi za kubaka ukifungwa subordinate, ukienda high court unaachiwa kutokana na makosa ya kiufundi au upungufu wa ushahidi. hata za mauaji, yule jamaa alichoma mkewe mnayeshangilia kufungwa, ana haki kwenda mahakama ya rufaa, usijekuja kuona ameachiwa naye, ni kawaida.
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!

Rufaa hiyo; ndo Tanzania hii!
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!

Unayoyasema nashindwa kuamini maana sioni namna anatoka kwa miezi mi 4, namna yeyote, ulikuweko akuhukumiwa au ulihadithiwa? Eleza zaidi
 
Kesi za kubaka Huwa ni ngumu Sana kushinda kama waendesha mashtaka wasipohipanga vizuri ki ushahidi.
Huyo huenda alikata rufaa au kuomba mapitio, mahakama kuu ikaona blunder ikamuachia.

Hata hivyo embu fuatilia hapo mahakamani alipohukimiwa Ili uone nini kiliendelea.

Kwa upande mwingine hata wewe ulikuwa na haki ya kumfungulia shitaka la madai kama mtoto alipata madhara. Lakini fahamu kwanza kilichotokea baada ya hukumu hiyo ni nini na ikawaje.
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!
Yawezekana kabisa ametolewa baada ya kushinda Kesi ya Rufaa katika Mahakama Kuu.

Fuatilia vizuri Kesi hiyo, upo uwezekano wa Rufaa ya Kesi kusikilizwa ndani ya muda mfupi Sana wa miezi minne tu na kisha Hukumu ikatolewa ukizingatia kwamba Rufaa ya kwanza kuhusu Kesi yenu hiyo ni lazima itasikilizwa Katika Mahakama Kuu.
Siku hizi Mahakama Kuu nasikia wanajitahidi kusikiliza Kesi haraka sana tofaufi na miaka ya nyuma.
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!
Kama unauhakika hakukata rufaa jaribu kwenda gereza husika alofungwa jaribu kuulizia inawezekana ametoloka piaa
 
Hachana naye ...........wewe fanya mambo yako.........ila mshitakie mungu.......kama kuna yeyote aliyekanyaga haki yako nakuthibitishia atoboi...........yaani hata usisononeke kabisaaa ipo saa ya ushindi kwa mungu ............
 
Mambo km haya ya kiwaki ndo yanasababisha watu kufanya mauaji..!!
 
Kuna Kijana mmoja tulimtuhumu kumbaka Mwanangu wa miaka minne tukapeleka malalamiko kwenye vyombo husika vya Kiserikali, Jamhuri ikafungua kesi ya ubakaji katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

Tumeenda Mahakamani mimi na Mke wangu kwa zaidi ya Mwaka mmoja na nusu, ambapo tulikuwa tukiacha shughuli za kutupatia kipato na kwenda Mahakamani ili tuone haki ya mtoto wetu kama itapatikana.

Mungu sio Athumani tukiwa tunaelekea kukata tamaa kutokana na shauri kusikilizwa kwa muda mrefu, hukumu ilitolewa jambo ambalo lilitupa faraja kutokana na gharama za nauli na muda mwingi tulivyokuwa tumetumia kwenda Mahakamani.

Hukumu iliyotolewa ni kwamba mtuhumiwa alitiwa hatiani kuhusika na kosa alilokuwa anatuhumiwa nalo. Hukumu hiyo kwetu ilileta nuru, faraja na kutufuta machozi tukiamini haki imetendeka baada ya awali kuhisi kuna mazingira ya danadana ambayo yalifanya haki kucheleweshwa.

Mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani alihukumiwa kwenda jela miaka 30, ambapo hadi sasa ni takribani miezi mitano imepita.

Katika hali ya kusikitisha nuru imetoweka baada ya kuanza kumuona mtuhumiwa mtaani akiishi kama raia huru, ni kwa mara kadhaa tumemuona mtuhumiwa huyo huku jamaa zake wakifurahia kutoka gerezani.

Mimi sio mtaalamu zaidi wa Sheria lakini napata ugumu kuelewa kama Mtu aliyehukumiwa anaweza kurejea mtaani bila kushinda rufaa au kutolewa kwa kuzingatia taratibu nyingine za kisheria ikiwemo msamaha wa Rais.

Nimeshindwa kuweka taarifa zote kwakina ikiwemo namba ya kesi yenyewe na jina la mtuhumiwa ili kuepuka uwezekano wa walioshiriki mchezo huo kinyume kutopata fursa ya kumrejesha mtuhumiwa gerezani kupoteza ushahidi lakini nikihakikishiwa usalama na haki kutendeka naweza kutoa ushirikiano.

Kutokana na kile nilichokieleza naomba kama kuna wataalamu wanisadie kuelewa ni kwa namna gani mtuhumiwa anaweza kuwa uraiani tofauti na taratibu nilizoeleza, lakini vipi natamani kufahamu aina ya wafungwa ambao unufaika na msamaha wa Rais.

Kwa mwenendo huo napata mashaka kama watuhumiwa tunaoambiwa wamehukumiwa kama wapo ndani inavyotakiwa uenda wengine wapo nje tena kinyume na Sheria, KWAKWELI NIMEOGOPA!
Wakati huo na wewe jihadhari sana pamoja na familia yako huwezi jua kajipangaje
 
Back
Top Bottom